Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 541
Nahitaji kiwanja cha bei poa 40*40 /30*40 maeneo ya Ununio.
Msaada please
Msaada please
nahitaji kiwqbja cha bei poa 40*40 /30*40 maeneo ya ununio. msaada pls.
Weka namba yako ya simu
Mkuu ofa yko tafadhali
Unaponunua kiwanja unazingatia nini? kwanini umechagua ununio?
mimi si dalali wala siuzi kiwanja ila nalushayri ununue kiwanja kati ya goba au makongo juu.
[/QUOTE]Mimi ninacho kiko barabara ya lami ukubwa 2716 qm2 kina hati
QUOTE=Anita Baby;12888118]nahitaji kiwqbja cha bei poa 40*40 /30*40 maeneo ya ununio. msaada pls.
Unaponunua kiwanja unazingatia nini? kwanini umechagua ununio?
mimi si dalali wala siuzi kiwanja ila nalushayri ununue kiwanja kati ya goba au makongo juu.
Mkuu na wewe kwa nini unafikiri Goba au makongo juu panafaa kuliko Ununio? kwa mfano makongo na Goba land scaping yake ni mbaya, maji ni shida, barabara za kuingia kwenye mitaa ni mbaya hasa wakati wa mvua.
Mie mgeni humu, ku pm ndio nini?
Kuna kiwanja ununio mita 800 toka maji ya bahari kina hati ukubwa sqm 1200 bei 150m tuwasiliane 0657145555
Njoo boko hapa jirani tu na ununio, viwanja vinakatwa hapa 30 kwa 30 bei ni tshs million 25 , ukiwa kiwanjani bahari unaiona kwa chini.Nahitaji kiwanja cha bei poa 40*40 /30*40 maeneo ya Ununio.
Msaada please