Recent content by Aidan maganyiro

  1. Aidan maganyiro

    UBUNGO, DAR: Machinga wapewa siku 3 waondoke

    kwahiyo unapinga maendeleo , means hutaki barabara ijengwe ...
  2. Aidan maganyiro

    Serikali angalieni juu ya hawa ndugu zetu wachina

    Kwa sasa mtaani kumekuwa na shida kubwa juu ya hawa ndugu zetu wachina kwani wanachofanya mitaani si sawa hasa kwa vijana na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane , wanasambaza mashine za kamali kama jungu karanga kila kona ya mtaa wameweka mashine zao za kamali sijuwi kama...
  3. Aidan maganyiro

    Haya mavazi kwangu sijayaelewa , hasa hicho kilemba juu ya kichwa..Siasa ziko patam sana kwa sasa Tanzania

    hahahahaaaa sasa kwa mfano yapi , hawa wanatengeneza mapicha mapicha tu , usilolijuwa sawa na usiku wa giza.
  4. Aidan maganyiro

    Tundu Lissu apingwa vikali, aambiwa asigeuze TLS kuwa chama cha siasa

    sis tunaendelea kuwaangalia tu hawa watu wanaojiita mawakili wasom au wanasheria wasomi....majibu watayaleta tyu
  5. Aidan maganyiro

    DAR: Ofisi za IMMMA Advocates zawaka moto!

    Tunapambana na umaskini wetu , hata nchi sasa tunaisaliti....duuh
  6. Aidan maganyiro

    Kamata Chumba na Sebule bei chee

    kibamba au mbezi mwisho nyumba yenye mabanda ya kuku ikiwa inajitegemea ....
  7. Aidan maganyiro

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    acha unafiki masaa 38 wote tumeona ....unataka kuaminisha uma kwa maneno ya ulaghai
  8. Aidan maganyiro

    Magazeti yanavyosema leo hii

    magazeti yetu kwa leo
  9. Aidan maganyiro

    Ndege zisizo na rubani kusambaza dawa nchini

    Wizara ya maendeleo jinsia na watoto imekwisha sain mkata na kampun inayotwa zipline ...
  10. Aidan maganyiro

    Ndege zisizo na rubani kusambaza dawa nchini

    Hii wadau imekaa vipi ? hakuta kuwa na muingiliano na watu wa tanzania civil aviation katika matumizi ya anga na je kwa ndugu zangu wafugaji watakuwa wanaelewa nini kinapita kwao je kuna elim yoyote kwao ?..
  11. Aidan maganyiro

    IKULU DSM: Rais Magufuli amwapisha Jenerali Mbungo wa TAKUKURU

    we unafikiri kinakutisha nini pale ?
Back
Top Bottom