Kwa sasa mtaani kumekuwa na shida kubwa juu ya hawa ndugu zetu wachina kwani wanachofanya mitaani si sawa hasa kwa vijana na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane , wanasambaza mashine za kamali kama jungu karanga kila kona ya mtaa wameweka mashine zao za kamali sijuwi kama...
Hii wadau imekaa vipi ? hakuta kuwa na muingiliano na watu wa tanzania civil aviation katika matumizi ya anga na je kwa ndugu zangu wafugaji watakuwa wanaelewa nini kinapita kwao je kuna elim yoyote kwao ?..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.