Aidan maganyiro
Member
- Jun 14, 2017
- 74
- 44
KUMBEEni maharamia ( pirates) wa kisheria....!!
au ni terrorist !,!!!
uhuru alienda nao kikwete
hahahahaaaa sasa kwa mfano yapi , hawa wanatengeneza mapicha mapicha tu , usilolijuwa sawa na usiku wa giza.Leo ni wanasheria, kesho ni wewe!!
Usipende kufurahia kila jambo hasa ambayo hayafurahishi...
True thatLeo ni wanasheria, kesho ni wewe!!
Usipende kufurahia kila jambo hasa ambayo hayafurahishi...
Kila mmoja ataguswa, wakimaliza sisi wanakuja kwenu,TLLeo ni wanasheria, kesho ni wewe!!
Usipende kufurahia kila jambo hasa ambayo hayafurahishi...