Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Kwa hiyo hata wakiamua wauzie bidhaa zao ndani ya wodi ya Muhimbili waachwe tu wasisumbuliwe?mkuu alisema wamachinga wasisumbuliwe
Kwa hiyo hata wakiamua wauzie bidhaa zao ndani ya wodi ya Muhimbili waachwe tu wasisumbuliwe?mkuu alisema wamachinga wasisumbuliwe
mawazo yako yanakutosha kukumbusha kula tu,Huwa najaribu sana kuwaza......
Kwa jinsi serikali inavyo wa disturb wakazi wa Daslam......
What if wakiamua kuhama jiji na kuelekea kwenye mikoa mingine isiyo na bugudha.....
Hapa nawaza tu
Mimi sioni kama Kuna Tatizo hapa, For safety reason hawatakiwi kufanya biashara katika eneo hilo wakati ujenzi unaendelea.
Ningeomba serikali kama kuna uwezekano iwatafutie sehemu mbadala wa kufanya biashara zao, Japo hili ni changamoto kwasababu wafanya biashara hao wanafanya biashara katika eneo hili kwasababu ya uwepo wa wingi wa watu.
Maendeleo yana gharama zake, kwa hili tuvumiliane
watanzania tufike mahali tuangalie mambo kwa macho matatu, binafsi naichukia sana ccm tena sana jwahiyo nimejikuta naichukia pamoja na serikali yake lakini kwa hii hatua ya kujenga fly overs napenda kuipongeza sana serikali yetu ni nchi chache sana ukanda huu wa Africa zimefikia hatua hii.
Asante sana wahusika ila muangalie kama kua uwezekano wa kuwasaidia hao mnaowaondoa kwenye maeneo hayo. yawezakuwa ndio njia pekee wanajipatia kipato.
Swali langu ni in a positive way sio negative....ni wangapi na watakwenda wapi?kwahiyo tusijenge barabara?
au tujenge wakiwa barabarani- vipi usalama wao?,watapata wateja kweli?
Vijana nchi hii sijui wamekosea nini, wanachukuliwa kama MAJAMBAZI ?
- Waliosoma hawapewi ajira ?
- Wakiwa machinga wanafukuzwa kila leo na polisi ?
- Wakifanya biashara zao ziwe rasmi hawapewi TAX HOLIDAY wala GRACE PERIOD. Hata kabla ya faida wanakabwa na TRA, TFDA, NEMC, OSHA, FIRE, BRELA, COSOTA etc
- Hivi vijana wa nchi hii WAISHI Vipi ?
umenichekesha,Tunahitaji hapa mwanasheria anaye jua sheria za serikali za mitaa atusaidie hapa,elewa kuwa JIJI litalazimika kuwapa alternative place kwa hawa wafanyabiashara ili haki yao ya kikatiba ya kujitafutia riziki isiminywe,hawa wafanyabiashara wamekuwepo pale kwa muda mrefu bila ya jiji kuchukua hatua zozote,pili kutokana na mipango mibovu ya jiji ndio iliyopelekea maeneo yote ya wazi yaliyotengwa kwa maendeleo ya jiji,public areas kwa wanajiji kutumia yamemezwa yote na sasa wanatumia nguvu wakati makosa ni yao,huwezi kuhamisha watu bila kujua utawapeleka wapi.
nani aliwaweka barabarani?Swali langu ni in a positive way sio negative....ni wangapi na watakwenda wapi?
Kujiongeza ndio kufanyaje ?Wajiongeze. Akili zako changanya na za kuambiwa. Kwa hiyo flavor zisijengwe? Tunaishi kwenye dunia ya man eat man! Hakuna kuoneana huruma.
Tatizo waTanzania tunaweka siasa kwenye kila kitu. Na hii ni kwetu sote wananchi na hao viongozi tunaowachagua!
Nani aliwaweka waliojenga mabondeni? Nani amewaweka wamachinga mitaa ya kariakoo?nani aliwaweka barabarani?
ina a positive way, nataman tuiondoe jamii yetu kwenye MOCK hopeNani aliwaweka waliojenga mabondeni? Nani amewaweka wamachinga mitaa ya kariakoo?
Huwezi kuwaweka watu kiholela na ukategemea kukusanya kodi kwa uhalisia! Planning inawezesha kukusanya kodi kiuhalisia! Hata nyumbani kwako unaweza kutupa vitu hovyo hovyo? That's mean of planningKwahiyo wafanyabiashara wote wawe center moja katikati ya mji? Hao wanunuzi ni watu wanaoishi nje ya mji, wawafate huko.
mimi naona ni sahihi. Sio kila kitu tulalamike.
Kupisha ujenzi wa fly over wamebuguziwa mkuu??Huwa najaribu sana kuwaza......
Kwa jinsi serikali inavyo wa disturb wakazi wa Daslam......
What if wakiamua kuhama jiji na kuelekea kwenye mikoa mingine isiyo na bugudha.....
Hapa nawaza tu
Nini maoni kuhusu kuondolewa ubungo,au wee ulitakaje?Vijana nchi hii sijui wamekosea nini, wanachukuliwa kama MAJAMBAZI ?
- Waliosoma hawapewi ajira ?
- Wakiwa machinga wanafukuzwa kila leo na polisi ?
- Wakifanya biashara zao ziwe rasmi hawapewi TAX HOLIDAY wala GRACE PERIOD. Hata kabla ya faida wanakabwa na TRA, TFDA, NEMC, OSHA, FIRE, BRELA, COSOTA etc
- Hivi vijana wa nchi hii WAISHI Vipi ?
kwahiyo unapinga maendeleo , means hutaki barabara ijengwe ...Vijana nchi hii sijui wamekosea nini, wanachukuliwa kama MAJAMBAZI ?
- Waliosoma hawapewi ajira ?
- Wakiwa machinga wanafukuzwa kila leo na polisi ?
- Wakifanya biashara zao ziwe rasmi hawapewi TAX HOLIDAY wala GRACE PERIOD. Hata kabla ya faida wanakabwa na TRA, TFDA, NEMC, OSHA, FIRE, BRELA, COSOTA etc
- Hivi vijana wa nchi hii WAISHI Vipi ?
Haha h ni lowasa tena au tundusafi sana waisome namba, hizi kura za ukawa. 2020 lowasa