Jamani kuna viungo vingine havijui kuokoka hapo ni kosa kubwa kkkt wafanye marekebisho. Pia kuwe na ibada watu wakubwa na watoto na wazee.
Kuna wachungaji wanahubiri mambo ya zinaa umekaa na baba na mama mkwe ni aibu tupu.
Wazee wengi wameacha kwenda kanisani Kwa ajili ya makelele ya wanakwaya...
Habari za majukumu Wana JF.
Nina jambo linanisumbua naombeni ushauri. Ninaye ndugu yangu mtu mzima na wajukuu anao.
Kila kitu atakacho mwambia mzazi anasikilizwa sana, huyo jamaa ni mwongo sana na Kila anachomwambia mzazi ni uongo na kutuchonganisha wengine Kwa mzazi, sasa mzazi anampenda...
Huo ni ujinga wa wanawake hao Kwanza wanatia aibu wanawake wengine. Hao wanawake Wana yao ya kuwanyonyesha wanaume. Saa zingine hao wa Tanga waache huo ujinga. Kwani unapomyonyesha mwanaume ni unabakwa au ni hiari Yako.
Trekta ni chombo kizuri sana kama wewe ni mkulima unaweza kulima mashamba Yako. Pia unawakodishia watu wengine. Ila nunua trekta mpya ndiyo utaona faida yake. Spea ziko nyingi tu, usiogope chapa kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.