Recent content by ahoma

  1. A

    Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

    Jamani kuna viungo vingine havijui kuokoka hapo ni kosa kubwa kkkt wafanye marekebisho. Pia kuwe na ibada watu wakubwa na watoto na wazee. Kuna wachungaji wanahubiri mambo ya zinaa umekaa na baba na mama mkwe ni aibu tupu. Wazee wengi wameacha kwenda kanisani Kwa ajili ya makelele ya wanakwaya...
  2. A

    Naombeni mnishauri kwa hili

    Yes kabisa elimu Haina mwisho. Mimi nilisoma sec na Mzee wa miaka 65. Kwa hiyo kwanza hongera Kwa kuwaza hivyo go and do it.
  3. A

    Jamaa ni mwongo sana na Kila anachomwambia mzazi ni uongo

    Habari za majukumu Wana JF. Nina jambo linanisumbua naombeni ushauri. Ninaye ndugu yangu mtu mzima na wajukuu anao. Kila kitu atakacho mwambia mzazi anasikilizwa sana, huyo jamaa ni mwongo sana na Kila anachomwambia mzazi ni uongo na kutuchonganisha wengine Kwa mzazi, sasa mzazi anampenda...
  4. A

    Kaburi la Profesa Aloyce Wenceslaus Mayo

    Kwa hiyo?? Nawe jenga la kwako km huna pesa kaa kimya.
  5. A

    Je, ni kweli kufanya kazi kwa wazungu huwa kuna maslahi mazuri pamoja na kujaliwa utu au ni stori tu za vijiweni?

    Usiibe tu, utakaa nao vizuri sana hata nyumba watakujengea ukiwa mwaminifu Kwa muda mrefu
  6. A

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Hata Mimi ninayo namba ya mganga wa kienyeji yaani atafanya mambo yote. Je nikupe jina na namba zake?
  7. A

    Tanga: Wanawake walalamika kunyonywa maziwa na wanaume, watoto hawashibi

    Huo ni ujinga wa wanawake hao Kwanza wanatia aibu wanawake wengine. Hao wanawake Wana yao ya kuwanyonyesha wanaume. Saa zingine hao wa Tanga waache huo ujinga. Kwani unapomyonyesha mwanaume ni unabakwa au ni hiari Yako.
  8. A

    Naomba kufahamu bei ya gunia la Dengu kwa wanaolima zao Hilo

    Gunia moja la dengu ni bei gani kwa wakati huu
  9. A

    Hivi trekta linalipa kwa kulima shamba lako au kukodisha?

    Trekta ni chombo kizuri sana kama wewe ni mkulima unaweza kulima mashamba Yako. Pia unawakodishia watu wengine. Ila nunua trekta mpya ndiyo utaona faida yake. Spea ziko nyingi tu, usiogope chapa kazi.
  10. A

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Ana kichwa kama boga pia
  11. A

    Wazungu tunaogombania nao dalalada wamemkosea nini mwenyezi Mungu?

    Wao Wana Kila kitu, ila wanapenda sana utafiti Hadi utawaonea huruma. Tena hapo walipo wanalipwa vizuri sana. Wako kazini ujue
  12. A

    Nataka nianze biashara ya kuuza Ugali na Kitimoto Rost

    Mmmm yam, yam. Nakuja kula Masawe
Back
Top Bottom