Kaburi la Profesa Aloyce Wenceslaus Mayo

MTOCHORO

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
5,108
6,515
Hakika sasa Tanzania tumeanza kuwa na Matajiri, ukiona jamii inafanya vitu kama hivi kuwaenzi Marehemu wao basi ni jamii iliyoshiba.

Sisi tunamshukuru Mungu kwa yote tulioyapata toka kwa Mwalimu Mayo.



Prof. Mayo Amefariki Dunia Mkoani Dar es Salaam katika Hospital ya TMJ.

Profesa Wenceslaus Mayo alizaliwa 06 Desemba 1960, ni mzaliwa wa Mbulumbulu Karatu, Mayo alisoma Shule ya Sekondari Ilboru na Kuwa Mwanafunzi Bora kitaifa na kuendelea na masomo yake ya Kidato cha 5 na 6 Pale Kibaha Sekondari.

Baada ya Kumaliza Pale Kibaha alikwenda Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Faculty of Engineering kwa wakati huo (Kwa Sasa College of Engineering and technology) Kusoma Civil Engineering.

Baada ya Kupata Degree yake ya kwanza akapata na Degree ya Pili yaani Masters Degree Finland.

Kisha akapata nafasi ya kwenda Kusoma degree yake ya 3 Marekani ambapo hakupendelea sana Marekani, akaamua kwenda Kusoma Degree yake ya 3 Japan.

Alikuwa ni Professor wa Maji katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, CoET, Idara ya Maji.
 
Wakati kaburini kwake maji yanatiririka huko mkoani kwake watu wanahangaika kutafuta maji, uprofesa wake umewasaidia nini wananchi wa kwao? Watanzania tunawasomi wengi toka vijijini kwetu lakini hawakutusaidia hata kwa kiwango cha chini kwani waliishi kifahari mijini na kumalizua kifahari kaburini kijijini, huko Njombe yuko mwenye kaburi la ghorofa na AC ndani.
 
Wakati kaburini kwake maji yanatiririka huko mkoani kwake watu wanahangaika kutafuta maji, uprofesa wake umewasaidia nini wananchi wa kwao? Watanzania tunawasomi wengi toka vijijini kwetu lakini hawakutusaidia hata kwa kiwango cha chini kwani waliishi kifahari mijini na kumalizua kifahari kaburini kijijini, huko Njombe yuko mwenye kaburi la ghorofa na AC ndani.
Kwa hiyo?? Nawe jenga la kwako km huna pesa kaa kimya.
 
Kama alikuwa profesa wa maji aweza kuwa chanzo cha mateso haya ya maji tunayopata, maji hakuna.

Parapanda itakapolia wafu watafufuliwa, haijalishi utakuwa umezikwa kwenye mazingira yepi.

Anyways let him Rest Easy
 
Kuna vitu vinafikirisha japo haitakiw kumsema al malhum lkn ikiwa serikali ikamsomesha hadi japan, hv leo cc wa tzee hasa hpa kimara ni watu wa kuhangaika na Maji.???
 
Wakati kaburini kwake maji yanatiririka huko mkoani kwake watu wanahangaika kutafuta maji, uprofesa wake umewasaidia nini wananchi wa kwao? Watanzania tunawasomi wengi toka vijijini kwetu lakini hawakutusaidia hata kwa kiwango cha chini kwani waliishi kifahari mijini na kumalizua kifahari kaburini kijijini, huko Njombe yuko mwenye kaburi la ghorofa na AC ndani.

Hayo maji yanazunguka yanaingia na kutoka sehemu hiyo hiyo, yaani we hujaonawzile chemchem za kwenye mahoteli au nyumba za kuabudu?
Zunguka mijini ujionee! Duh
 
Hayo maji yanazunguka yanaingia na kutoka sehemu hiyo hiyo, yaani we hujaonawzile chemchem za kwenye mahoteli au nyumba za kuabudu?
Zunguka mijini ujionee! Duh
Ninajua huzunguruka hata hivyo hupungua baada ya muda, ila je, wanakijiji wa huko ambao kila siku wanalalamika kwa ukosefu wa maji huku wakipishana na wanyama wa porini wanaotafuta maji kwenye makazi yao wataelewa nini?
 
Hakika sasa Tanzania tumeanza kuwa na Matajiri, ukiona jamii inafanya vitu kama hivi kuwaenzi Marehemu wao basi ni jamii iliyoshiba.

Sisi tunamshukuru Mungu kwa yote tulioyapata toka kwa Mwalimu Mayo.

View attachment 2327768

Prof. Mayo Amefariki Dunia Mkoani Dar es Salaam katika Hospital ya TMJ.

Profesa Wenceslaus Mayo alizaliwa 06 Desemba 1960, ni mzaliwa wa Mbulumbulu Karatu, Mayo alisoma Shule ya Sekondari Ilboru na Kuwa Mwanafunzi Bora kitaifa na kuendelea na masomo yake ya Kidato cha 5 na 6 Pale Kibaha Sekondari.

Baada ya Kumaliza Pale Kibaha alikwenda Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Faculty of Engineering kwa wakati huo (Kwa Sasa College of Engineering and technology) Kusoma Civil Engineering.

Baada ya Kupata Degree yake ya kwanza akapata na Degree ya Pili yaani Masters Degree Finland.

Kisha akapata nafasi ya kwenda Kusoma degree yake ya 3 Marekani ambapo hakupendelea sana Marekani, akaamua kwenda Kusoma Degree yake ya 3 Japan.

Alikuwa ni Professor wa Maji katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, CoET, Idara ya Maji.
Mtu amekufa 2 Aug 2021 mnapost leo... Duu
 
Wakati kaburini kwake maji yanatiririka huko mkoani kwake watu wanahangaika kutafuta maji, uprofesa wake umewasaidia nini wananchi wa kwao? Watanzania tunawasomi wengi toka vijijini kwetu lakini hawakutusaidia hata kwa kiwango cha chini kwani waliishi kifahari mijini na kumalizua kifahari kaburini kijijini, huko Njombe yuko mwenye kaburi la ghorofa na AC ndani.
HEBU PUNGUZA HASIRA KATAFUTE HELA UMASIKINI UNAKUSUMBUA
 
Back
Top Bottom