Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 987
- 1,912
Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.