Habarini wadau
Mimi nimejiuliza sana , kwann wavulana katika shule za serikali wavae kaptula? Mbona wasichana wanavaa sketi kuanzia chekechea mpk high school?
Mimi upande wangu naona kama kuna udharirishaji kwa wavulana wanafunz kwenye upande huo, na endapo wakavaa suruali kuanzia darasa la...
Habari wadau.
Naomba niende kweny maada moja kwa moja. Kitaalamu unaweza kushauri mjenzi atumie kipi kati ya mlango wa mbao au chuma
Mfano wa mlango wa chuma huo hapo chini
Sawa ndugu, ila nilichojifunza na nachoendelea kujifunza kweny betting uwe na mtaji wa kutosha, punguza tamaa bet magoli over huwa inatoa sana kwa upande wangu.. Pia kingine kikubwa usichukulie betting kama kazi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.