MBUZI MWENYE BUSARA
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 143
- 151
Habari wataalam wa ujenzi?
Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao ambazo nitatumia kuezeka nyumba hii ya vyumba vyumba vitatu vya kulala, sebule, dining, stoo na choo cha public. Vipimo ni 11m x 9m. Kwasasa nimeshafunga linta.
Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao ambazo nitatumia kuezeka nyumba hii ya vyumba vyumba vitatu vya kulala, sebule, dining, stoo na choo cha public. Vipimo ni 11m x 9m. Kwasasa nimeshafunga linta.