Recent content by Agnes Benedicto

  1. Agnes Benedicto

    Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

    Its very hard to tell the truth but ni bora utafute mda mwafaka na umwelexee ukweli Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
  2. Agnes Benedicto

    Natafuta mwenza

    Siku hizi limekuwa ni deal toka mitandao ya kijamii ingie, ni kitafta wachumba tu, hata mm natafta mchumba ila tu awe mkweli Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
  3. Agnes Benedicto

    Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Naomba unisaidie hili ndg, et kaini alimuoa mtoto wa nani maana biblia inasema baada ya kain kumua Abel, kain alifukuzwa na Mungu na kwenda mbali, na baadae kuoa, je, alioa mtoto wa nani kwa wakati huo?? Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
  4. Agnes Benedicto

    Wapinzani tumeukubali muziki wa Rais Magufuli

    Ahaaaaaaaaaaa, yaani natamani kulike kila post maana zimenichekesha sanaa Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
  5. Agnes Benedicto

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Mbona wakati ule hakurusisha, au kwa vile zilisemwa at zilikuwa c Mali ya umma??? Watanzania bwana mambo yao ni ubabaushaji saanaa!;! Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
  6. Agnes Benedicto

    Kamanda Wemasepetu: Mashirika ya haki za binadamu yasimame kusema hapana kwa kauli ya Rais

    Mm pia namuunga mkono rais, coz hili suala lkiruhusiwa elimu itakuwa kama bongo movie, ni bora waikaze kabisa ili watoto wa kike wautambue umuhimu wa shule, ila mazingira ya watoto kujisomea yaboreshwe!!?
  7. Agnes Benedicto

    Namaliza chuo London University Vipi TANZANIA kuna ajira nije?

    Ajira Hazijatika bt ukiwa na mtaiji utapata
  8. Agnes Benedicto

    Hivi nyie mabinti mnaodate na wazee mko timamu kweli!?

    Vijana wengi mmekuwa wahanangwa, means mmepoteza uhalisia wa kuwa wanaume na badala yake mnapenda kuhudumiwa!!!
  9. Agnes Benedicto

    Natafuta mchumba

    Mmmmmmmmhhh!!!! At kidato cha cta na asiwe tegemezi, na walimaliza elimu hiyo na bado hawapata job am unatoa jb Broo????!!
  10. Agnes Benedicto

    Anashawishiwa kufanya ukatili muokoeni haraka

    Aachane naye tu, coz aweza jiletea matatizo yeye aendelee kumwomba Mungu ck yake ipo naye atabarikiwa wanaomcheka sasa watamlilia baadaye kwa kumwomba msaada!!!!
Back
Top Bottom