Siku hizi limekuwa ni deal toka mitandao ya kijamii ingie, ni kitafta wachumba tu, hata mm natafta mchumba ila tu awe mkweli
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Naomba unisaidie hili ndg, et kaini alimuoa mtoto wa nani maana biblia inasema baada ya kain kumua Abel, kain alifukuzwa na Mungu na kwenda mbali, na baadae kuoa, je, alioa mtoto wa nani kwa wakati huo??
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Mbona wakati ule hakurusisha, au kwa vile zilisemwa at zilikuwa c Mali ya umma??? Watanzania bwana mambo yao ni ubabaushaji saanaa!;!
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Mm pia namuunga mkono rais, coz hili suala lkiruhusiwa elimu itakuwa kama bongo movie, ni bora waikaze kabisa ili watoto wa kike wautambue umuhimu wa shule, ila mazingira ya watoto kujisomea yaboreshwe!!?
Aachane naye tu, coz aweza jiletea matatizo yeye aendelee kumwomba Mungu ck yake ipo naye atabarikiwa wanaomcheka sasa watamlilia baadaye kwa kumwomba msaada!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.