Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Nilikuwa na moto wa kwenda Sabasaba baada ya kuondoka nchini kwa miaka mingi.
Nilivyorudi nilikuwa disappointed.
Nilikuta Sabasaba pameachwa bila matengenezo miaka mingi, vyoo vinanuka kiasi cha kuweza kusababisha magonjwa, kilichonisikitisha zaidi, mabanda mengi yakikuea yanafungwa saa 12. Nikauliza kwa nini? Wakasema wanaogopa wizi usiku.
Nikaona kuna sababu nyingi uchumi wetu unakuwa na matatizo mengi.
Nilivyorudi nilikuwa disappointed.
Nilikuta Sabasaba pameachwa bila matengenezo miaka mingi, vyoo vinanuka kiasi cha kuweza kusababisha magonjwa, kilichonisikitisha zaidi, mabanda mengi yakikuea yanafungwa saa 12. Nikauliza kwa nini? Wakasema wanaogopa wizi usiku.
Nikaona kuna sababu nyingi uchumi wetu unakuwa na matatizo mengi.