Kwa upande wangu sikujua kama process iko ivo sababu ni mara ya kwanza nilijua nimetuma maombi dar na interview itakuwa dar so lilipokuja suala la mwanza niliishiwa na poozi
Taratibu basi na misimamo yako unatuwekea kwa public iv wengine hawajaamka kutoka ktk usingizi bado wanatusomesha na iv mtu yupo ktk process za kunisomesha masterz we unamshtua sasa mana ni member wa jf
wala ata sio tu abiria wanaoiba ata hao wamiliki wa magari mnatuibia pia mi juzi tu nimepewa lifti pia nimeibiwa simu na laki moja na nusu yani sa iv mtu akitaka kunipa lifti nafanya km simuoni vile sitaki lifti zena tena
shangaa ww sasa ana kihere here nae uyu udom maji c tatizo muhimu uwe na vyombo tu vya kuhifadhia na mara nyingi watu huwa na majaba yani apo shida utaickia mbali karibu UDOM
co wote wacokuwa na shukrani mkuu wengine tukipata tunakumbuka waliotusaidia ata iwe kidogo vp unaweza nisaidia ata kazi ya kujitolea tu ili niwe ata na experience
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.