julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
sio stress tu mama, hata hizo foleni, traffic jam , ili na tuko wangapi idadi ipungue!
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?
sio stress tu mama, hata hizo foleni, traffic jam , ili na tuko wangapi idadi ipungue!
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
MWANAUME ATAKULA KWA JASHO MWANAMKE ATAZAA KWA UCHUNGU.......mi hua napiga kaz kwa bidii sana ata ofisin wananjua ila nkipokea tu mshahara brake ya kwanza kwa my sweet tunatumi I don't care na wala siwez lalamika manake shez ma sweet potato.
Usilte ngonjeara hapa km huna hela kaa pembeni ww khaaaaa!!
Watu km ninyi mkiombwa pesa muna lalama hamfai kwa hii jamii ya sasa
kama yeye hawezi awapishe watu na hela zao bwana
una akili sana Mkuu mwanaume kutafta mwanamke kutumia ata Mungu alinenaMWANAUME ATAKULA KWA JASHO MWANAMKE ATAZAA KWA UCHUNGU.......mi hua napiga kaz kwa bidii sana ata ofisin wananjua ila nkipokea tu mshahara brake ya kwanza kwa my sweet tunatumi I don't care na wala siwez lalamika manake shez ma sweet potato.
Eti ukiona huwezi kaa pembeni pisha wanaoweza... wa 1 ni wa 1 wa mbili haezi shindana na 1
Nakumbuka ile thread kila mwanamke anajiuza. Wamama mlikua wakali sana. len naona mnajiachia tu.
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
Na kila mwanaume ni Mteja/Mnunuzi na wote tuseme Amiiin
Watu wengi hawajui neno HIT AND RUN limetoka wapi.
Nakumbuka ile thread kila mwanamke anajiuza. Wamama mlikua wakali sana. len naona mnajiachia tu.