"uume siyo pesa"

"uume siyo pesa"

Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?

Ahsante Mkuu!!!! Mwenzao aliona hataki gharama za kuhudumia mwanamke akaenda oa Bibi wa miaka 70.. Si waige mfano ule???
 
Usilte ngonjeara hapa km huna hela kaa pembeni ww khaaaaa!!
Watu km ninyi mkiombwa pesa muna lalama hamfai kwa hii jamii ya sasa
 
MWANAUME ATAKULA KWA JASHO MWANAMKE ATAZAA KWA UCHUNGU.......mi hua napiga kaz kwa bidii sana ata ofisin wananjua ila nkipokea tu mshahara brake ya kwanza kwa my sweet tunatumi I don't care na wala siwez lalamika manake shez ma sweet potato.

Jamani huyo mbabe wako amepata mume trust me!! Hongera sana.
 
MWANAUME ATAKULA KWA JASHO MWANAMKE ATAZAA KWA UCHUNGU.......mi hua napiga kaz kwa bidii sana ata ofisin wananjua ila nkipokea tu mshahara brake ya kwanza kwa my sweet tunatumi I don't care na wala siwez lalamika manake shez ma sweet potato.
una akili sana Mkuu mwanaume kutafta mwanamke kutumia ata Mungu alinena
 
Eti ukiona huwezi kaa pembeni pisha wanaoweza... wa 1 ni wa 1 wa mbili haezi shindana na 1

Nakumbuka ile thread kila mwanamke anajiuza. Wamama mlikua wakali sana. len naona mnajiachia tu.
 
Nakumbuka ile thread kila mwanamke anajiuza. Wamama mlikua wakali sana. len naona mnajiachia tu.

Mi sina tatizo la kuitwa MUUZAJI Mkuu! Manake ni kwamba nagegedwa na kuhudumiwa hela ya maintance ya papuchi, sasa nisipouza kwa ME nijiuzie mwenyewe???
 
Kila mwanamke anajiuza

Source: Majaribu2013

Jamii forums, MMU.

www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/541951-kila-mwanamke-anajiuza-si-wale-tu-wanaosimama-buguruni-11.html#post7642939
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom