Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Kuna mtoto did the same to me! Siku akizama kwny line ntajifunza kula ndogo tena bla ky !...zake
duh...atakutafuta tena huyo..fanya kama vile hujaumia..endelea kulonga nae.. Siku akijichanganya tu kuja.. Njo hapa tukushauri umfanye nini.
Mi mzima Mashaxizo ,Halafu umetulia siku mbili hizi nimekumisijee...
Hawa wanaume suruali wa siku hizi wana shida sana loh?Hivo vipesa mbuzi mtu unalialia....
Pole??Wakati amejitakia mwenyewe loh!!Mie nipo!
...
Mwee! Badala ya kutoa pole uko, we ndio kwanza unatusimanga!
Hahahahahaaaa!
Jamaa asiwe na wasiwasi coz kama haujaibiwa huwezi kuwa Mjanja!
Na ukiibiwa sana poyeeeeeeee!
Ivi best ndio haujawai kuibiwa?
yani mi mwenyewe nimeshangaa km undergraduate chuo kinafunguliwa trh 20 mwezi wa kumiHuko UDOM anasomea nini? kama ni undergraduate si chuo kimefungwa??
No discussion hapo!!!
Over!!!Over!!!!!!!!!
Wewe mpwa unantafuta niropoke...!!!!
Ila siongei ng'ooo...
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
Duh, kuna wanaume wanapata shida jamani kha... #umbulula++
Heri ubaki bikra kama mimi...
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
abak bikra kama ww kwan msichana huyo!!!!!