Waallahh Sirudii tena

Waallahh Sirudii tena

Kuna mtoto did the same to me! Siku akizama kwny line ntajifunza kula ndogo tena bla ky !...zake
 
Mi mzima Mashaxizo ,Halafu umetulia siku mbili hizi nimekumisijee...
Hawa wanaume suruali wa siku hizi wana shida sana loh?Hivo vipesa mbuzi mtu unalialia....

Mie nipo!
...
Mwee! Badala ya kutoa pole uko, we ndio kwanza unatusimanga!
Hahahahahaaaa!
Jamaa asiwe na wasiwasi coz kama haujaibiwa huwezi kuwa Mjanja!
Na ukiibiwa sana poyeeeeeeee!
Ivi best ndio haujawai kuibiwa?
 
Mie nipo!
...
Mwee! Badala ya kutoa pole uko, we ndio kwanza unatusimanga!
Hahahahahaaaa!
Jamaa asiwe na wasiwasi coz kama haujaibiwa huwezi kuwa Mjanja!
Na ukiibiwa sana poyeeeeeeee!
Ivi best ndio haujawai kuibiwa?
Pole??Wakati amejitakia mwenyewe loh!!
 
Achana na watoto wa udom wewe apo ushamtoa menu ya wiki nzima kwa wajasi ng'ox na kama ni mtu wa kujirusha bas ni ful chako ni chako o maisha!!!
 
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......

hahahahaha
NA BADO source G. GONDWE.
 
Chati weee lakini ikifikia point unatakiwa utume hela ni vizuri ukakata mawasialiano fasta.
 
Hahaa hahaa we mburulaa kweli kweli..wenzako wanamwambia aje alafu ndio wanawarudishia nauri sio umtumie bhana..ahaa wewe nawe!!!
 
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......

Simple. Wapigie mtandao huduma kwa wateja, waambie huyo ni mfanyakazi wenu hukujua ka keshalipwa hivyo ukamtumia tena hela nyingine. Waombe wakurudishie.
Kwisha habari yake, siku akija kutumiwa hela tu, inakuja kwako, labda asitumiwe maisha.
Nshawafanyia wengi tu izo.
 
hujui Mungu amekuepusha na nini, hiyo 40,000 ingeweza kukugharimu maisha yako
 
Back
Top Bottom