Kuanzia siku ya jana, inasemekana M/s Kalinda aliamua kuzima mitambo yake ya kuchimba madini kwa kisingizio kuwa wajanja wame hack mitambo yake.
Mitambo yake ilianza kupoteza nguvu taratibu tangu juzi na hatimaye kusimamishwa rasmi jana huku ikiacha kilio kikubwa kwa maelfu ya wadau waliokuwa...
Mkuu Econometrician, huyu member ameuliza maswali ya msingi sana; binafsi nami nimetatizwa. Wewe kama the great thinker, usikimbilie kuponda tu, jenga hoja yenye mashiko na sisi angalau tuelewe kuhusu umeme huu wa Gwajima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi mkuu kueleweshwa. Ni rahisi sana.
Vigezo ni: Two principal passes (at least two D's) zenye total pts zisizopungua 4.0
Hapa Ni kwa wale waliofanya mtihani wa ACSEE from 2016 to 2017. Zaidi ya hapo tafuta Guide Book ya kwako!
Post sent using JamiiForums mobile app
Nina imani wewe kama a great thinker, kuna kitu ulitaka kuongea Kwa kutumia lugha ya picha. Otherwise video za simba kushambuliwa na nyati tumeziangalia sana tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.