Acha Azam, kulikuwa na mkate wa Siha

Acha Azam, kulikuwa na mkate wa Siha

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534
5c19753b9f74d090c23a34b2fad3c0f3.jpg

Mkate laini kama sufi. Sio siri Bongo ya zamani ilikuwa raha sana hata jua lilikuwa halina usongo na ukali kama hivi sasa.

Halafu hizi kelele za vyama vingi pia hazikuwepo. Wazee wetu walifanya kazi au biashara waliyamudu maisha. Walikuwa na magari na nyumba.

Maisha swafi. Sio kila mtu mwizi wenye wanaita kupiga dili.
 
Azam anatamba huko Dar tu. Huku Koromije tuna mikate yetu miingiii
 
Ni kweli huu mkate wa siha ulikuwa ni mkate bora kuwahi kutokea. Tangu kufa kwa National Milling na mkate nao ukafa. Dhana yangu ni kuwa wapo baadhi ya wafanyakazi wanakumbuka fomula ya kutengeneza huu mkate, tunaomba wajitokeze waturudishi huu mkate.
 
Azam mkate wa siha?? Ngoja nikumbuke vizuri...........!!!!!! Au labda RTC mnh sijui ni NMC anyways nikikumbuka nitarudi
 
Miaka ya 1970s kununua Gari lazima muwe Watu wasiopungua Sita kupata Kibali

Dkt Hassy Kitine Mkuu wa Usalama wa Taifa kabla ya Balozi Augustine Mahiga alitumbuliwa kwa kosa la kununua Gari binafsi bila ya kumjulisha Mwl Myerere

Hata kununua Fridge ya kupoza Maji ilikuwa ni uhujumu Uchumi!

Watu tulikuwa tunavaa Kama Sare za Shule kwa kuwa hapakuwa na Mitumba wala Nguo za kutoka Nje ya Nchi
Ile Minguo ya Urafiki ikizalishwa kwa wingi Kama Uniform zikiingizwa Sokoni huna option zaid ya kununua
Sitamani zile enzi kwa kweli!, kilikuwa kipindi cha Ujima au Zama za Mawe za Kale!

Bwana Magu kaamua kugeuza Gari kuturudisha zile enzi
 
Miaka ya 1970s kununua Gari lazima muwe Watu wasiopungua Sita kupata Kibali

Dkt Hassy Kitine Mkuu wa Usalama wa Taifa kabla ya Balozi Augustine Mahiga alitumbuliwa kwa kosa la kununua Gari binafsi bila ya kumjulisha Mwl Myerere

Hata kununua Fridge ya kupoza Maji ilikuwa ni uhujumu Uchumi!

Watu tulikuwa tunavaa Kama Sare za Shule kwa kuwa hapakuwa na Mitumba wala Nguo za kutoka Nje ya Nchi
Ile Minguo ya Urafiki ikizalishwa kwa wingi Kama Uniform zikiingizwa Sokoni huna option zaid ya kununua
Sitamani zile enzi kwa kweli!, kilikuwa kipindi cha Ujima au Zama za Mawe za Kale!

Bwana Magu kaamua kugeuza Gari kuturudisha zile enzi
Mkuu bila shaka wewe ni muhenga
 
Wahenga tunaikumbuka hii watoto wa juzi hii thread watairuka
 
Sasa tuache kumaliza Siku kuwaza mambo ya zamani tutajiudhi. Tufkirie Leo yetu maana imekua misukosuko mitupu.

fail to plan = plan to fail.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom