Mkate laini kama sufi. Sio siri Bongo ya zamani ilikuwa raha sana hata jua lilikuwa halina usongo na ukali kama hivi sasa.
Halafu hizi kelele za vyama vingi pia hazikuwepo. Wazee wetu walifanya kazi au biashara waliyamudu maisha. Walikuwa na magari na nyumba.
Maisha swafi. Sio kila mtu mwizi wenye wanaita kupiga dili.