Wazazi wasikuizi wamekosa mbinu kabisa za malezi ya kielimu Kwa watoto zao au sijui wanafunzi ndio wamekosa ubunifu. Hao walimu usawa wa kipato unabana lazima wajipambanie wapate mahitaji ya kulea familia zao kama wewe unavopenda kuilea ya kwako mtaishia kulalama tuu. Miaka yetu ulikuwa unakuja...
Kuwa Makini sana tuu kama pesa ipo waambie wakamilishe kabisa malipo kabisa ndio utoe mzigo au ufanye kazi. Vinginevyo kula kwako ni kugusa tuu, experience yangu Kwa mashule wanaongoza Kwa madeni sana kutokuwalipa watu na wakuu wanahamishwa kiholela sana, Leo umefanya kazi na huyu kesho anakuja...
Ubaguzi upo kila sehemu hasa kwa sisi ngozi nyeusi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe kwa Makabila au Koo flani na Koo Flani. Ukiwa mtu mweusi jitahidi kujua hali hii ipo itakusaidia kujiandaa kisaikolojia na kuendelea na mambo yako.
Tushawahi kukatwa tukiwa na 83 Wakachukua kuanzia 86, ila mwisho wa siku next Battle buyu tukalipata. Wakati wa Mungu ukifika Kila kitu kinanyooka tuu jombaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.