Recent content by AFRIKA KWETU

  1. A

    Maandamano makubwa kuanzia Jumatatu na kuhitimisha ofisini kwa mkuu wa Wilaya ya Rombo!

    Duh! mi nilijua yashakwisha hayo, kumbe ndo kwanza harakati zinaanza!!!
  2. A

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    billions of money....zinaitwa hela ya madafu tena na mkuu wa nchi....ama kweli staajabu ya vijicent uyaone ya hela ya madafu!!!
  3. A

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    watanzania tunasubiri maamuzi juu ya waliopiga pesa za wananchi.....mengine mbwembwe
  4. A

    Watangazaji wa TV mjifunze jinsi ya kuvaa

    hata kwetu wapo.................watangazaji wa star tv-tanzania wanatupia pamba za hatareeeee......wanatisha kwa sasa....... Habari yao pia ina mvuto.
  5. A

    Msaada wa tafsiri ya neno episode

    episode-onesho, japo cna uhakika sana.
  6. A

    Ivona Kamntu - Mtangazaji anayemiliki vyema kamera

    Ebwanaeee! Huyu dada pia sauti yake imetulia sn.............kama sikosei ni A'Lecturer SAUT-Mwanza.
  7. A

    NGONO: Kivutio kingine cha utalii nchini Tanzania

    Hahahahahaha!!! unataka uwe kivutio..............
  8. A

    NGONO: Kivutio kingine cha utalii nchini Tanzania

    Kwa mujibu wa dira ya dunia-bbc, watalii wengi (wanawake) wamekuwa wakifika hapa nchini kwa ajili ya kuwanasa vijana wa kiume ili wafanye nao ngono. Tofauti na ilivyozoeleka kwa watalii hao kufika hapa nchini ili kutembelea vivutio kama mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama sasa idadi kubwa ya...
  9. A

    Updates Yanga v/s URA.......Taifa leo tar 21.07.2013!!!!!

    Mpaka dk hii URA 2 YANGA 0
  10. A

    Mashekhe wamjia juu diamond baada ya kufuturu na penny ambaye si mke wa ndoa...

    Lakini si kila anayejiita Muislamu ni Muislamu....................kwa hayo ya Diamond dah! cjui yeye anafuata misingi ipi katika Uislamu!!! Hata hivyo wapo wengi tu msimu huu wanavaa sn kanzu na wengine wakiisogelea misikiti lakini kwa matendo yao wanausaliti Uislamu.
  11. A

    Tabia za Kitanzania zinazonikera...

    Tabia nyingine ya hovyo ni ile ya watu kutupa kondom zilizotumika sehemu za wazi kama vile barabarani/njiani. INAKERA SANA.
  12. A

    Nifanyeje kwenye hali kama hii ili kulinda penzi langu?

    asubiri siku watakayonasiana ndo atajutia dhambi anayofanya!
  13. A

    Ama ni kutokuwa competent ktk uandishi wa habari au lugha inaweza kuwa tatizo

    Kwa wale waloshuhudia wakati wa tukio hili watakubaliana nami kuwa jamaa alikuwa ameandaliwa maana hata yule alokuwa anaendesha zoezi hilo alimtaja kwa jina lake yaani PETER ilihali wengi wa waandishi hao walikuwa wamenyoosha mikono ili wapate fursa ya kuuliza maswali.
  14. A

    Michelle obama apata adhabu airport

    Mke wa Rais wa Marekani Bi. Michelle Obama, amepata usumbufu wa kurekebisha kigauni chake kifupi na chepesi kutokana na hali ya upepo iliyotawala katika maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam. Haya yametokea katika uwanja wa ndege wa Mwl. Julius K. Nyerere wakati wa mapokezi ya Rais Obama...
Back
Top Bottom