Recent content by african66

  1. african66

    25,532 wapangiwa mikopo awamu ya kwanza ya tzs 88.36 bln

    Mbona udahili wa HLI's unatoka kwa awamu hatuhoji?. Kwa logic ndogo ni kwamba kuna HLIs wameshatoa confirmed list ya wanafunzi na vyuo vinaanza kupokea next week, hivyo hakuna sababu ya kuwasubiri wa round 4 udahili ilihali majina kutoka vyuo tayari. mawazo yangu tu!!
  2. african66

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza.

    Nadhani watakuja kutoa maelezo zaidi before next round lets wait
  3. african66

    Naendelea kufanyia wanafunzi application za vyuo

    Mkuu mbona unatoka povu hata ushauri wa kawaida tu "saidia wadogo wakaelimike hawatakusahau" mi nimewasaidia 5 bure na wote wamepata ila kimyakimya tu
  4. african66

    Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inafanya udalali wa kukusanya pesa kwa njia zisizo halali?

    Nukuu: Zoezi la Uhakiki wa Taarifa za Waombaji wa mikopo Baada kukamilika kwa muda wa kupokea maombi ya mikopo Julai 31, 2018, HESLB ilikuwa imepokea jumla ya maombi 78,833 ambapo baada ya uhakiki, ilibaini jumla ya waombaji zaidi ya 25,000 fomu zao za maombi zikiwa na upungufu wa nyaraka na...
  5. african66

    MDAHALO(Mitandao ya Kijamii): Mahususi kwa wanafunzi wa vyuo na wahitimu wa elimu ya juu wa Tanzania

    Mbona dotcom tu na sisi BBC (wahenga) nafasi yetu iko wapi?
  6. african66

    .Msaada wa form yangu ya mkopo

    Mbona jibu unalo halafu unauliza
  7. african66

    Waliofanikiwa hawakutuambia kuwa tutafanya kazi Mara 5 zaidi ya walioajiriwa

    Nimejifunza jambo nilitaka kuingia kichwa kichwa
  8. african66

    Ijue sheria ya makosa ya jinai

    Je kabla ya hukumu kutolewa na ikathibitika kuna vielelezo au ushahidi zaidi ukasadikika kuwepo mahali fulani hakimu anaweza kutoa amri vikaletwa hivyo vielelezo. Na je mlalamikaji ana haki ya kudai vielelezo au ushahidi uletwe mahakamani?
  9. african66

    Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner imeharibika kuanzia jana jijini Mwanza abiria tumeshindwa kuendelea na safari leo

    Mhhhh watanzania wanapenda umbea sana naona wanavyo tiririka (wanavyo changia mada) Ila tusubiri tuone!!
  10. african66

    Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

    AbuFizzer na LICUD hebu kaeni mpate muafaka halafu mtuletee uzi ulionyooka. Mi naona mapichapicha tu au mmepanga mabishano ndio style ya uzi
  11. african66

    Baada ya madereva wenye vyeti fake kutimuliwa Ajali za STK, STJ, SU na DFP zimeshamiri

    Wewe F6 unamuendesha bosi wako ana F4 na experience. Amekaa pembeni anaongelea dili za kupiga hela na miamala inaingia kwenye simu na wewe unasikia. Utaacha kuchanganyikiwa uende porini. Tuwaache wenye Std 7 waendelee na kazi zao bhana!
Back
Top Bottom