Recent content by african nigro

  1. african nigro

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Tusifikie mahala na kuanza kupoint huyu ni wakabila gani au wale wametoka mahala gn ishu ya msingi kuangalia ni mtu ana uwezo gn that's all tusije tukaingia kwenye ukabila na kufikia hata kuwa na chuki na watanzania wenzetu wewe uliye anza kupoint mbona wale wametokea kaskazini bac wewe ndo...
  2. african nigro

    Hivi kweli MIST ina sifa za kuwa chuo kikuu?

    Kapige kitabu mist mkuu wako vizur taasisi hiz kuanzia dit, ATC na mist zinachalenji sawa na ubora wa elimu ni the same coz mfumo wao ni huo huo mmoja usisikilize maneno ya vijiweni
  3. african nigro

    Self employment opportunity in networking marketing business

    Kweli mkuu your right Mimi najiuliza why waafrica ni watu wakupokea tu kila kitu bila hata kufikiri, when will we stop being colonized by this white mens this forever living and there network marketing is shit
  4. african nigro

    Rorya tumewakosa Maria Sarungi na John Mashaka. UKAWA tuleteeni jiwe tutalipa kura

    Mwambie huyo asijaribu kufamfananisha sugu na Huyo
  5. african nigro

    John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

    Ndiyo mkuu huyo ni prof baregu hawezi kuikacha cdm hata mara moja huyo
  6. african nigro

    Australian Water Company Quoting Prophet Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam...

    Ukikumbatia dini unakumbatia ignorance kuwa quoted anaweza aka quotiwa mtu yeyote as long as amezungumza ukweli sioni ubaya na hilo ila ni vizur pia ugusiye na mapungufu yake pia ili tuweze kuona pande zote mbili zake
  7. african nigro

    Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Kweli mkuu tatizo letu waswahili wengi tunadharau sana taaluma mwisho wa siku nyumba yako inapata crack baada ya miezi sita tu alafu ndo unaanza kujuta ningejua
  8. african nigro

    Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Mkuu hayo ni mawazo finyu kuwa na professional kwenye kaz zako ni kitu cha muhimu km unataka utendaji bora hao unaowaita mafundi wa mtaani ni wazur lkn wanabubaa nyingi aka kulipua kaz ningependa kumshauri mtoa mada afanye gathering of materia mwenyewe kwanza kabla ya kuanza ujenzi
  9. african nigro

    Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

    Wewe cute b davido kashasema hataki kura za wa tz mnajipendekeza kwake ili nini bora ucpige kura
  10. african nigro

    Msaada: Nahisi kuchanganyikiwa, matumizi makubwa kuliko kipato

    Mkuu nimependa advice yako your soo positive
  11. african nigro

    Kwanini wale waafrika wenzangu wanaovuka meditterinia huwa wanazama?

    Mkuu swali lako zurii ila lugha uliotumia sio. Kuhusu wahamiaji wanazama kwa sababu vyombo vyao haviko kwenye usalama wa kutosha alafu wanajaa kupitiliza na ishu ya kuhamia europe mm siafikiani na hilo to my take africa has a lot of resources we Africans should benefit sioni haja ya kukimbilia...
  12. african nigro

    Atheists have no reason to fear death or punishment

    Am a non atheist but am also not a religious too ,religious fear death coz they believe in history
  13. african nigro

    Atheists have no reason to fear death or punishment

    Were you scared of birth death is human evolution whether you are scared or not you will still die someday as long as you are living and there is no wrong with death it is there and will still be there whether you like it or not our perception is what brings fear
  14. african nigro

    Atheists have no reason to fear death or punishment

    Before going far asking questions about God why don't you ask questions of your existence God atajibu maswali yake na wewe wa paswa kujibu maswali yako
Back
Top Bottom