Onesmo NB Nicholaus
Member
- Jul 10, 2015
- 49
- 2
Ndugu wana jf najua humu kuna watu ambao wanaweza kunipatia majibu kwa maswali yangu.
Hivi ni vigezo gani vilivyotumika kuifanya MIST kuwa university, maana naona elimu inayotolewa na vyuo vya DIT na ATC ina ubora kuliko ya university. Na ni kweli kwamba MUST hakuna competition, au tu ni maneno ya watu?
Naomba kufahamishwa!
Hivi ni vigezo gani vilivyotumika kuifanya MIST kuwa university, maana naona elimu inayotolewa na vyuo vya DIT na ATC ina ubora kuliko ya university. Na ni kweli kwamba MUST hakuna competition, au tu ni maneno ya watu?
Naomba kufahamishwa!