Recent content by Africa_Spring

  1. A

    Kukaa kimya kwa Lowassa kujibu tuhuma ni werevu wa Lowassa au ni ujinga wa watanzania?

    Usitoe tathimini kitoto, Huwezi kuwa na pesa pia una marafiki wenye pesa? Hapo ni maswali mawili tofauti kwanza Lowassa pesa katoa wapi hiyo moja yaani za kwake mwenyewe, pili hao wenye pesa wanamzunguka kwa minajili ipi? Ni Silvio Berlusconi wa Tanzania? Na Berlusconi kaishia wapi? Umeahdiwa...
  2. A

    Anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar

    Mkuu huyu HAPO kwenye red nae si amekamatwa ethiopia au ni majina yanafanana,or huenda ukoo ulele? LOL
  3. A

    Picha: Mrembo wa Kitanzania aliyekamatwa na heroin China

    I dont know what to tell you more than this..... The love of money is the root of all kinds of evil. --Jesus Let us treasure up in our soul some of those things which are permanent..., not of those which will forsake us and be destroyed, and which only tickle our senses for a little...
  4. A

    Baraza la Mawaziri: Nani atoke, Nani abaki, Nani aingie?

    Mapungufu ya mama migiro ni kwamba hatujaweza kupima uwezo wake kwa wananchi (kupitia jimboni hata kama angeshika nafasi ya tatu), kwahiyo inabakia tafsiri tu kwamba ushawishi wake pengine ni kwa watu waliokuwa nae karibu ambao wameweza kumpima. Je huyu hapa ulie mtaja.... Professor Hassa...
  5. A

    Kikwete aenda tena Marekani na Canada. Kutunukiwa PhD ya Sheria - Guelph University

    wanaeambatana nae wachunguzwe vyema maaana wasije wakatutia aibu ya kukutwa na SEMBE. Hili mimi naamini linawezekana kabisa. Maaana sasa hivi hajulikani nani siye na nani ndiye katika ubebaji wa madawa
  6. A

    wizara ya afya

    Masomo yatachelewa safari hii kwani mpaka sasa ndo kwanza mitihani ya C.A inaendelea so ifwatiwe na ya C.O then ndo wanafunzi wapya waingie...so nadhani ni mwezi wa novemba ndio matarajio jamani. Kwahiyo msihofu bado muda upo sana. Tuwe na subira na kumuomba mungu atujarie katika matarajio yetu
  7. A

    Ministry of health and social welfare.

    Huja eleweka, Unazungumzia mitihani au majina ya kujiunga vyuoni...kuwa muwazi sasa watu wakuelewe
  8. A

    Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

    wakwanza lage aikifatiwa na mungai wote waondolewe
  9. A

    Kinana acharuka: Adai kampuni ni yake lakini meno ya Tembo si yake!

    Huyu mzee ni msomali, tuwemakini na nchi yetu,,, hawa wakimbizi wanakuja kutuharibia rasilimali zetu.
  10. A

    Watoto wa rafiki wa mke wangu ni wangu, nawahitaji

    Unadalili za kuwa na genetics za serial killer, unatakiwa ujichunguze soon utahama katika mambo hayo ya kuwazalisha na utaanza kuwauwa.. Kamuone mtaalamu wa saikolojia mapema kabla maji hayaja mwagika mkuu.
  11. A

    Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

    Naona hata huyu hafanani mkuu, hizo zilikua hadithi za alinacha....watu wa pwani waongo sana, walianzisha uzushi huu, Samahani kwa kuwaita waongo
  12. A

    Ndg Kinana, hili la MNEC wako tulichukulie kama TAKRIMA ama RUSHWA?

    mkuu Mchambuzi naona bado unaendelea na ndoto zako za kuwa membe na january wanaweza kuchukua nchi, mimi bado na subiri nione utabiri wako mkuu.
  13. A

    Unakumbuka adhabu hizi za shuleni?

    Hahahahaaa. duh, Long time Uhuru mchanganyiko....
  14. A

    Hii kitu bado inachomwa mabarabarani?

    Mate yamenitoka mkuu
Back
Top Bottom