Masomo yatachelewa safari hii kwani mpaka sasa ndo kwanza mitihani ya C.A inaendelea so ifwatiwe na ya C.O then ndo wanafunzi wapya waingie...so nadhani ni mwezi wa novemba ndio matarajio jamani. Kwahiyo msihofu bado muda upo sana. Tuwe na subira na kumuomba mungu atujarie katika matarajio yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.