Unaweza onyesha ubovu wa ule mkataba, na hasa kipengele kilicho pelekea kuvunja?
Na kwa nini tumeshindwa kesi na kupeleke kuwalipa mabilioni ya shillingi?
Ukosefu wa maarifa ni hari mbaya sana. Jambo jema ni kuhubiri Haki.. Kwani matunda ya Haki ni Amani, Upendo, Kushilikiana, Furaha, Kuaminiana. Sasa hadi hapo twapasa kujitadhimini twahubiri nini.
Mtoa mada umeongea mengi. Kwa nini usijikite kwenye kushauri/ kushinikiza kwa kuandika makala nzuri na zenye ushawishi kupelekea kuwe na uchunguzi huru kutoka kwenye vyombo vya uchunguzi toka nje?
Hapo naona itatoa picha kamali ni nani alieko nyuma ya mambo yote haya ya utekaji, uteswaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.