Nimekubali kweli Paul wawanyarwanda amefanya kitu kubwa kwa nchi yake, lakini usisahau na vitu aliyewafanyia yile miaka ya 90.
kwa mfano, mimi simpendi kwa sababu alikua anafanya genocide ya 94.
chochote atawafanyia, ni kizuli kwa mda wa sasa akibaki kicwani kwa serikali ya rwanda, nathani...
Dini ni tatizo gani?
mimi sielewi mtu ambaye anamuua mwenziwe kwa mana ya dini tu!
wazungu wenyewe wenye dini, wanasaidiana kuwafunza watu wingine ili wapate wanatakacho lakini hakun mzungu ataua mwenziwe, kwanini africans?
kanisumbua kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.