Barieda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 1,811
- 2,484
Habari za jioni wakuu?
Moja kwa moja kwenye maada, nahitaji kujua mwanamke aliyesema Wanaume hawaaminiki ni nani?
Hii kauli imeleta madhara makubwa sana kwenye ndoa na hata mahusiano yetu, ndoa hazidumu na ushirikiano wa kiuchumi baina ya wanandoa umepungua kiasi kikubwa sana, si ajabu pindi mwanaume anapambana kutafuta hela ya kulisha, kusomesha watoto na kujenga nyumba mwanamke naye anapambana kununua kiwanja chake anajenga nyumba yake kwa kile kinachodaiwa wanaume hawaaminiki.
Naomba kujua je ninani huyo? Alikuwa na nia gani? Kama yupo hai naomba aje atengue kauli yake ili anusuru ndoa na mahusiano yetu, kwenu wadau.
Moja kwa moja kwenye maada, nahitaji kujua mwanamke aliyesema Wanaume hawaaminiki ni nani?
Hii kauli imeleta madhara makubwa sana kwenye ndoa na hata mahusiano yetu, ndoa hazidumu na ushirikiano wa kiuchumi baina ya wanandoa umepungua kiasi kikubwa sana, si ajabu pindi mwanaume anapambana kutafuta hela ya kulisha, kusomesha watoto na kujenga nyumba mwanamke naye anapambana kununua kiwanja chake anajenga nyumba yake kwa kile kinachodaiwa wanaume hawaaminiki.
Naomba kujua je ninani huyo? Alikuwa na nia gani? Kama yupo hai naomba aje atengue kauli yake ili anusuru ndoa na mahusiano yetu, kwenu wadau.