Yaan uko 30s ww ni Kuongelea habari za watu mda woote yaani kila mtu unamjua ww, watu maarufu woote washkaji zako ww ,, kujifanya sehem za starehe zote wazijua..aaaghhh mwanaume gani inaboa.
Ladies wamekua wakali hahaha dah ila hata ka hujaolewa atlst basi kaboyfrend kakueleweka kawepo ,,, sasa ww sio sister ,sio mgonjwa hujaolewa na bf wa kueleweka huna umri nao , unadanganywa unanjunjwa unaachwa inastress
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.