Nahisi nimerogwa

Nahisi nimerogwa

Unatakiwa kusomewa wewe ,kitabu cha mungu kimeelezea uchawi na jinsi ya kujikinga na kujitibu, so unatakiwa kipite kisomo cha nguvu na maji ya kuoga na nyumba isomewe na nk . nb usifanye uchawi ndugu yangu tafuta mashekhe wanaotibu kisuna kama unahitaj msaada nipm

Ahsante kwa ushauri
 
Ndugu kuwa na imani kama ya ibrahim aliomba mtoto kwa Mungu miaka mingi bila majibu lakini hakukata tamaa lakini baada ya miaka mia kupita Mwenyezi Mungu alimpa mtoto na jina lake Isaka baada ya hapo ,
Mungu akamwambia mwana wake wa pekee anayempenda amtoe Isaka kuwa sadaka ya kuteketeza japo alikuwa mtoto wake wa pekee na asingeweza kuzaa tena kutokana na uzee aliokuwa nao,
Ibrahimu alimwomba Mungu akampeleka Isaka kwenye mlima alioagizwa ili kumtolea Mungu mtoto wake wa pekee kuwa sadaka lakini akishakuandaa kila kitu na Isaka akiwa juu ya kuni tayari kwa kutolewa sadaka Mungu kwa kutambua imani ya kweli aliyokuwa nayo Ibrahimu na Mungu alimletea kondoo ili amchinje badala ya Isaka,
Ndugu nimekupa mfano huu kutokana na wewe kusema umekutwa na majaribu na ulifunga na kutoa zaka kwa Mungu ili mambo yako yarudi kama zamani,
Nataka nikuambie Mwenyezi Mungu huwahadhihakiwi na ni mwenye Huruma na Upendo mwingi na kwa imani yako unaonekana ulishakata tamaaa na uliamua kufunga kwa kujaribu kama Mungu atakujibu kesho yake ,
Iko wapi imani yako leo endelea kuomba na kufunga ukitoa sadaka kwa wajane, yatima na maskini na utoapo sadaka hizo hata mkono wako wa kushoto usijue Mungu atakujibu kwa wakati.

Ahsante kwa ushauri
 
Ongea na wazee wako ili wakaongee n a huyo mama ili atengue kauli yake juu yako, na baada ya hapo uhame usionane nae na mambo yatarudi kama zamani
 
Kwa hio unanishauri VP.maana kwa sasa ninafanya biashara moja tu.nimefungua Bangalow kwa ajili ya watalii.Ila nimeshaichoka hii biashara maana Hawa jamaa wana mazarau sana.

Bungalow au Hotel? Vyovyote vile, Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Mkuu hii ni biashara ya nne sasa ndani ya miaka 7 au pungufu. Bora ulivyobaki na moja. Isimamie kwa miaka kama mi5.

Ikiwa stori yako ni kweli, hapo ndo umerudi nyumbani maana ulikua unadili na watalii ndo ulipopata pesa na kuanza kuhangaika na kila kitu. Busara ya biashara ilikutaka kama ni magari, basi ununue ya utalii, boti la kubeba watalii, n.k. kwa kifupi ungekua na kuwa kampuni ya utalii. Usiwe kama yule Arawa alieimbwa miaka nenda rudi ye kubadilisha biashara tu.
 
katika habar hii hujataja wazazi asa sijui ushiriki wako na familia yako ukoje au uko pekeako kwenu?? mali nyingi kijana mdogo lazima kuna kitu
 
Bungalow au Hotel? Vyovyote vile, Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Mkuu hii ni biashara ya nne sasa ndani ya miaka 7 au pungufu. Bora ulivyobaki na moja. Isimamie kwa miaka kama mi5.

Ikiwa stori yako ni kweli, hapo ndo umerudi nyumbani maana ulikua unadili na watalii ndo ulipopata pesa na kuanza kuhangaika na kila kitu. Busara ya biashara ilikutaka kama ni magari, basi ununue ya utalii, boti la kubeba watalii, n.k. kwa kifupi ungekua na kuwa kampuni ya utalii. Usiwe kama yule Arawa alieimbwa miaka nenda rudi ye kubadilisha biashara tu.

Ahsante Huu ndo miongoni mwa ushauri mzuri k uliko yote.nimeupenda sana.nakuahidi nitaufanyia kazi.Bila ya kusahau nitakupatia mrejesho
 
Unakaribishwa tena. Lakini SAGHIR ungeweza kushauriwa vema zaidi. Tatizo kuna maswali ya wadau huko juu hujayajibu. How come madhila yako uko tu wewe na huyo mmama 'mlogaji'? Elimu hujaizungumzia na mambo mengi. Ndo maana unaulizwa maswali kuliko kushauriwa.
 
Last edited by a moderator:
namuamini sana mungu,ilana pia najua uchawi upo.maana hata katika vitabu vya dini umezungumziwa.

ukimwamini mungu 100%, ukajitoa ufunge hata mwezi mmoja tuu!!
Soma maandiko na kufanya maombi kwa ratiba ifaayo hakika mungu muweza wa yote hakuna la kumshinda!!!
Mungu ni rafiki yetu tuwapo nyakati ngumu tuzungumze naye, wasamehe wote walokukwaza na ondoa vinyongo na chochote na omba omba omba omba mungu atakushindia kk!!!
God be with you
 
Hakuna mganga mkweli,nahisi ataenda kunilia hela zangu.

Shetani ana departments nyingi, mojawapo ni ya uchawi halafu nyingine ni ya uganga. Wote hao wanareport kwa shetani na wanapata resources za kutendea kazi toka kwa shetani.

Kukosa maarifa ni janga kubwa sana.
 
Unakaribishwa tena. Lakini SAGHIR ungeweza kushauriwa vema zaidi. Tatizo kuna maswali ya wadau huko juu hujayajibu. How come madhila yako uko tu wewe na huyo mmama 'mlogaji'? Elimu hujaizungumzia na mambo mengi. Ndo maana unaulizwa maswali kuliko kushauriwa.

Ahsante sana.elimu yangu ni Degree ya Business Information Technology (BIT).
 
Last edited by a moderator:
ukimwamini mungu 100%, ukajitoa ufunge hata mwezi mmoja tuu!!
Soma maandiko na kufanya maombi kwa ratiba ifaayo hakika mungu muweza wa yote hakuna la kumshinda!!!
Mungu ni rafiki yetu tuwapo nyakati ngumu tuzungumze naye, wasamehe wote walokukwaza na ondoa vinyongo na chochote na omba omba omba omba mungu atakushindia kk!!!
God be with you

Ahsante kwa ushauri mzuri
 
Shetani ana departments nyingi, mojawapo ni ya uchawi halafu nyingine ni ya uganga. Wote hao wanareport kwa shetani na wanapata resources za kutendea kazi toka kwa shetani.

Kukosa maarifa ni janga kubwa sana.

Ahsante kwa ushauri
 
katika habar hii hujataja wazazi asa sijui ushiriki wako na familia yako ukoje au uko pekeako kwenu?? mali nyingi kijana mdogo lazima kuna kitu

Kuhusu wazazi nipo nao.ila kwa sasa hawapo tz.wanaishi London pamoja na wadogo zangu wawili
 
Wakubwa Shkamooni na Wadogo Habari zenu.

Jamani naomba ushauri wenu,mm ni kijana mdogo sana sbb sijafikia miaka 30,kwenye jamii yangu ninayoishi mm ni kijana wa kupigiwa mfano kwa kuwa nimepata maendeleo mapema kuliko vijana wote waliobakia wa rika langu.

Nilianza kumiliki Nyumba ya kisasa nikiwa kijana wa miaka 17 tu,nilipofikia umri wa miaka 18,nilifunga safari za kwenda Dubai na Thailand kufata biashara za electronics,na kwa kuwa n kijana mm tu niliejanjaruka kwa wakati huo,nilipata faida ya haraka sana nikaweza kumiliki gari tatu za abiria,na kama haitoshi nikanunua boti mbili za uvuvi,ikumbukwe kwa wakati huo nilikuwa na umri wa miaka 19 tu.

kwa wakati huu naandika habari hii nina miaka 23,nimeshakuwa na vitega uchumi vingi tu.

Najua utakuwa na hamu na kujiuliza kwa nini nimesema nimerogwa?.napenda kuchukua fursa hii nikuelezeni kwa nini nimesema hivyo,maana huenda msaada wenu utakuwa na manufaa kwangu!.

Mtaani kwetu ninapoishi nilijenga mazoea ya kiurafiki na mama mmoja ambae ni kweli nilimtumia kama mshauri wangu wa kibiashara,basi huyo mama alikuwa amebahatika kupata watoto watoto 3,mmoja akiwa wa kike,na ikumbukwe huyo mama alipenda sana kunifanyia matani muda mwingine akiniita "Mkwe wangu".

nilipokuwa na miaka 22 nilitamani sana kupata msichana ili nifunge nae ndoa,nilimfata yule mama kwa ajili ya kunipa ushauri kuhusu ndoa,basi matatizo yote yalianzia hapo,sbb yule mama alinitaka nimuoe mtoto wake,na pia aliwahi kuniambia kitu kuwa ikiwa sitomuoa mtoto wake basi mm na yeye tusizungumze kwa lolote,na litakalonipata nisije kulia na yeye,niliogopa sana.

Kwa kuwa mm yule binti yake hakunivutia kwa kuwa hakuwa wife material,niliamua kumuoa msichana mwengine,basi alihamaki sana hata siku hizi nikimsalimia haitikii kabisa,na kama haitoshi,tangia nilipofunga ndoa mambo yangu kibiashara yamekuwa ya hovyo sana,mara ya mwisho kwenda dubai ilikuwa mwaka jana,biashara zangu zimeyumba sana,gari zangu 3 nimeshauza tayari,na boti yangu moja ilizama na wale watu wangu waliokuwa wanavulia wamekufa wakati inazama,niliumia sana,kwa sasa nimebaki na boti moja tu,ambalo hata halifanyi kazi vizuri,siku hizi nikifanya biashara napata hasara sipati faida.

Nilijaribu kumuomba radhi yule mama ili tuishi kama zamani,ila amekataa hata kuzungumza na mm,ki ukweli mm siwezi kumuoa mwanae namjua hajatulia,kwa kuwa alishawahi kufanya mapenzi na marafiki zangu wawili ambao tulikuwa tunashirikiana kwenye biashara,siku hadithiwa nilimuona mwenyewe kwa macho yangu alipovunja amri ya sita.

Kiukweli ninaumia sana jinsi nilivokuwa zamani na nilivo sasa.

Naombeni munishauri nifanye nn ili niwe kama zamani.
AHSANTENI.

Pole sana ila naomba uchunguze kwanza labda huyo mke mpya ndiye tatizo
 
Pole sana ila naomba uchunguze kwanza labda huyo mke mpya ndiye tatizo
kuhusu mke wangu mpya sijawa na uhakika bado,maana nimeshamchunguza vya kutosha kama ana imani za kishetani au laa, ni msikivu sana nawala sidhani kama anaweza kunienda kinyume,lakini kwa vile umenipa ushauri sitoudharau nitaendelea kuwa makini. ahsante.
 
Wakubwa Shkamooni na Wadogo Habari zenu.

Jamani naomba ushauri wenu,mm ni kijana mdogo sana sbb sijafikia miaka 30,kwenye jamii yangu ninayoishi mm ni kijana wa kupigiwa mfano kwa kuwa nimepata maendeleo mapema kuliko vijana wote waliobakia wa rika langu.

Nilianza kumiliki Nyumba ya kisasa nikiwa kijana wa miaka 17 tu,nilipofikia umri wa miaka 18,nilifunga safari za kwenda Dubai na Thailand kufata biashara za electronics,na kwa kuwa n kijana mm tu niliejanjaruka kwa wakati huo,nilipata faida ya haraka sana nikaweza kumiliki gari tatu za abiria,na kama haitoshi nikanunua boti mbili za uvuvi,ikumbukwe kwa wakati huo nilikuwa na umri wa miaka 19 tu.

kwa wakati huu naandika habari hii nina miaka 23,nimeshakuwa na vitega uchumi vingi tu.

Najua utakuwa na hamu na kujiuliza kwa nini nimesema nimerogwa?.napenda kuchukua fursa hii nikuelezeni kwa nini nimesema hivyo,maana huenda msaada wenu utakuwa na manufaa kwangu!.

Mtaani kwetu ninapoishi nilijenga mazoea ya kiurafiki na mama mmoja ambae ni kweli nilimtumia kama mshauri wangu wa kibiashara,basi huyo mama alikuwa amebahatika kupata watoto watoto 3,mmoja akiwa wa kike,na ikumbukwe huyo mama alipenda sana kunifanyia matani muda mwingine akiniita "Mkwe wangu".

nilipokuwa na miaka 22 nilitamani sana kupata msichana ili nifunge nae ndoa,nilimfata yule mama kwa ajili ya kunipa ushauri kuhusu ndoa,basi matatizo yote yalianzia hapo,sbb yule mama alinitaka nimuoe mtoto wake,na pia aliwahi kuniambia kitu kuwa ikiwa sitomuoa mtoto wake basi mm na yeye tusizungumze kwa lolote,na litakalonipata nisije kulia na yeye,niliogopa sana.

Kwa kuwa mm yule binti yake hakunivutia kwa kuwa hakuwa wife material,niliamua kumuoa msichana mwengine,basi alihamaki sana hata siku hizi nikimsalimia haitikii kabisa,na kama haitoshi,tangia nilipofunga ndoa mambo yangu kibiashara yamekuwa ya hovyo sana,mara ya mwisho kwenda dubai ilikuwa mwaka jana,biashara zangu zimeyumba sana,gari zangu 3 nimeshauza tayari,na boti yangu moja ilizama na wale watu wangu waliokuwa wanavulia wamekufa wakati inazama,niliumia sana,kwa sasa nimebaki na boti moja tu,ambalo hata halifanyi kazi vizuri,siku hizi nikifanya biashara napata hasara sipati faida.

Nilijaribu kumuomba radhi yule mama ili tuishi kama zamani,ila amekataa hata kuzungumza na mm,ki ukweli mm siwezi kumuoa mwanae namjua hajatulia,kwa kuwa alishawahi kufanya mapenzi na marafiki zangu wawili ambao tulikuwa tunashirikiana kwenye biashara,siku hadithiwa nilimuona mwenyewe kwa macho yangu alipovunja amri ya sita.

Kiukweli ninaumia sana jinsi nilivokuwa zamani na nilivo sasa.

Naombeni munishauri nifanye nn ili niwe kama zamani.
AHSANTENI.
Kukata mzizi wa fitna muoe huyo mama!
 
Back
Top Bottom