Hivi kile kipindi cha Jumamosi saa 1 kamili usiku mpaka saa 3 kamili usiku, kilikuwa na nyimbo nzuri sana za old school, naona siku hizi wanachanganya mpaka na za bongo.
Upo sahihi sana,Mambembe , nilishafanyaga hayo maswali ya online.....yaaaniii nadhani hakuna kitu cha ajabu km hicho, ni km hawataki candidates vile.
Jamaa ni mjivuni kweli, tena sanaa, afuu mweusi ka soli ya komamanga.
Inaonyesha hata wanaoajiriwa hapo km HR hawakai sana, maana ni mara kwa...
Huyo jamaa nilimshangaa kwa kweli, halafu habari yenyewe waliionesha kama fasta fasta hivi. Alianza kusema ....ohhh nimeanza kuruka Mtwara sasa nimekuja hapa Dar kuutangaza huu mchezo....Daaah.. Sijui mitambo iligoma kupunguza kasi ya kushuka chini, hata sielewi.
TEF wangesema tuu kuwa, "kwa kuwa Mheshimiwa Rais ameshawapatanisha kule Tanga, TEF hatuna sababu ya kuendelea kufungia habari zake kutangazwa". Basi, ila ile sakrandimba ya jana haikuwa sahihi.
Aliwahi kusema mkuu wa mkoa wa Dar wa zamani (Mzee Yussuph Makamba), "Mheshimiwa mtu mzima akikosea haombi msamaha, anaguna tuu...mmh", hii ilitokea mitaa ya msimbazi mbele ya aliyekuwa waziri mkuu aliyejiuzulu (Mh.Lowassa), baada ya jambo fulani kutokwenda sawa.
Ni mango tuu, maana maembe yetu ya TZ yana majina mengi, kama vile embe bwabwa, embe nyonyo, embe viringe kwa wakazi wa Tanga ni viunga vyake wanayafahamu sana haya n.k
Mimi hiyo DG, sikuwa naifahamu mwanzoni ila niliwahi kukutana nayo kwa hao hao fastjet wakaniambia kama nataka kusafiri na hiyo perfyum nirudishe begi chini ili lipite kama mzigo na sio begi la mkononi. Nilipandwa na jazba na kung'oa mfumo mzima wa perfyum ndio nikawaachia pale. Walibaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.