Recent content by adamtupa92

  1. adamtupa92

    Tanga kunani? Mbona viwanda vimekufa?

    Tulio zaliwa miaka ya 90's hii itakuwa ni stori kwetu kusikia babu zetu na baba zetu wakituhadisia Tanga ilivyo kuwa hodari ya viwanda miaka ya nyuma, nafurahi sana kusikia habari hizo lakini furaha yangu najikuta haidumu kukumbuka ninayo ambiwa ni kama hadithi za sungura na fisi (yaani imebaki...
  2. adamtupa92

    Eti kuna ukweli wowote kuhusu hili..???

    Serikali yasitisha pesa za kujikimu kwa vyuo vikuu.
  3. adamtupa92

    EPL is back.........

    wanaonyesha, Everton Vs Spurs.
  4. adamtupa92

    EPL is back.........

    Ila umeelewa hadi umeweza kurekebisha. Ila ingekuwa jukwaa la elimu ndio ingenoga zaidi.
  5. adamtupa92

    EPL is back.........

    Hahahaha kwann mkuuuu
  6. adamtupa92

    Jah Prayzah ft Diamond collabo kali zaidi ya mwaka huu

    Sina team hapa bongo, ila kwa ngoma hii inaweza nisaidia nikapata team, ameweza Bro D.
  7. adamtupa92

    EPL is back.........

    Tumijue wenye team zenu na mtabiri wenyewe mtamaliza nafasi ya ngapi. Naanza mm, Arsenal (3).
  8. adamtupa92

    Pesa za field kuna habari njema

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23]
  9. adamtupa92

    Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

    Vyote kweli kaumba mungu, ila hujaambiwa ufuate kila kitu.
  10. adamtupa92

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125], SUBIRI adhabu yako na ww.
  11. adamtupa92

    Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

    Hahahahha, ameacha bana ninayo clip yake, na nimemuona na kumsikia.
  12. adamtupa92

    Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

    Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh BREAKING NEWS Aliyekuwa Mfalme na gwiji wa muziki wa taarabu Afrika mashariki MZEE YUSUF ameamua kuachana na mziki na kumrudia Allah. Mzee Yusuf ametangaza Nia yake hiyo leo ijumaa tarehe 12-08-2016 Muda mfupi baada ya kumaliza kuswali swala ya...
Back
Top Bottom