adamtupa92
Member
- Jun 29, 2016
- 27
- 24
Tulio zaliwa miaka ya 90's hii itakuwa ni stori kwetu kusikia babu zetu na baba zetu wakituhadisia Tanga ilivyo kuwa hodari ya viwanda miaka ya nyuma, nafurahi sana kusikia habari hizo lakini furaha yangu najikuta haidumu kukumbuka ninayo ambiwa ni kama hadithi za sungura na fisi (yaani imebaki stori).
Naona ni kama mazoea sasa kwa Tanga na mimi nimepata habari za kuwasimulia wanangu na wajukuu zangu kwa kushuhudia kiwanda kama cha Afritex (CIC) na kiwanda cha kuzalisha sabuni ya unga (FOMA) navyo VINAKUFA.
Ushauri wangu kwa wahusika Tanga hatuna haja ya viwanda vipya Tanga tunahaja ya kufufuliwa viwanda takrikani 60's vilivyo kufa.
Mashaalaah tumeanza safari Dodoma na imeshafanikiwa kwa asilimia fulani.
NAOMBA WAHUSIKA TUHAMISHE FIKRA ZETU TANGA KUANZA SAFARI YETU YA TANZANIA YA VIWANDA...!!!!
Naona ni kama mazoea sasa kwa Tanga na mimi nimepata habari za kuwasimulia wanangu na wajukuu zangu kwa kushuhudia kiwanda kama cha Afritex (CIC) na kiwanda cha kuzalisha sabuni ya unga (FOMA) navyo VINAKUFA.
Ushauri wangu kwa wahusika Tanga hatuna haja ya viwanda vipya Tanga tunahaja ya kufufuliwa viwanda takrikani 60's vilivyo kufa.
Mashaalaah tumeanza safari Dodoma na imeshafanikiwa kwa asilimia fulani.
NAOMBA WAHUSIKA TUHAMISHE FIKRA ZETU TANGA KUANZA SAFARI YETU YA TANZANIA YA VIWANDA...!!!!