Wazo zuri lakini
suala la imani ni la mtu binafsi,ili upone kwa babu sharti uamini kwamba utapona,JE UNAUHAKIKA KWAMBA HAO AMBAO SERIKALI ITAWAPELEKA KWA BABU KINYEMELA WATAKUWA NA IMANI KWAMBA WATAPONA?Huu si mchezo wa kubahatisha.
Sikupingi,naheshim uhuru wa kuongea na kutoa maoni yako,una haki ya msingi.Mkuu hebu tusubiri tuone au kusikia shuhuda za waliopona kutokana na dawa ya babu,hakuna marefu yaso ncha.
Inauma sana,halafu hivi yale mashangingi ya muhula uliopita yamepelekwa wapi?hi nchi,hii nchi,hii nchi hiii,jamani watu wa mara tusaidieni kutengeneza bunduki tuwabomoe viuno hawa ccm.Inauma sana.
Miujiza gan ya kujinadi? Hilo ni zee la misifa, halafu wewe unayesema tumtumie, anza wewe,usishawish wanajamvi wamwabudu binadam wkt mungu yupo.
Umetumwa nini mzee?sema kama we una hisa kweny sadaka anayokusanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.