Mbona Watu Hawahoji Kuhusu CV ya Huyu?

re: Mbona watu hawahoji kuhusu cv ya huyu?

mkuu, kwanza kama ulivyosema kuwa hauna chembe ya udini wala hidden agenda, swali lako nami nitarijibu bila chembe ya udini, upenzi wala hidden agenda. Mimi ni mpentecost na kwa bahati najua elimu za kikatoliki.

Miaka ya karibuni kumezuka wakatoliki wengi walio seminary kutaka elimu yao ibadilishwe na kufanana na standard za kidunia kwa sababu au hofu uliyoionyesha.

Ukweli ni kuwa seminary hawafundishwi dini tu..masomo mengi wanayofundishwa ni ya dunia hii, philosophy, geography, uraia, science courses, mathematics, .....name it wanayasoma vizuri tena kwa uwanja mpana sana.

Kumbuka kuwa neno certificate au degree au diploma are not universal, maneno haya yanabadilika kutoka nchi moja na nyingine. Kwa mfano ufaransa mpaka phd wanaita certificate, degree ya ujerumani hawaita bsc wanaiti diploma in engineering. Leo hii kwa mfano unapo-apply shule usa,canada kuna agents za ku-angalia vyet vyako kama vina meet standard za kwao, kwa hiyo neno certificate kwa kirumi inaweza ni equivalent na degree fulani au masters fulani ila wanatumia 'certificate'.

Ikumbukwe hata kihistoria japo haipo kwenye biblia mussa alikuwa mwanasheria na alisoma chuo kikuu kinaitwa elimopolice, ambako watoto wa matajiri walikuwa wanasoma wakati yeye akiwa jumba la farao, alisoma masomo mengi zikiwemo tamaduni za ki-misri, sheria, lugha n.k na equaivalent ya elimu yake ya wakati ule ni sawa na degree za sasa.

Hesabu kwa mfano za trigonomoteric zimevumbuliwa miaka 600 b.c lakini ni aghalabu kipindi hicho ukakuta watu wanaitwa professors, drs, degree holders n.k

hivyo basi kitamaduni za shule za seminary bado wanashikiria tamaduni za vyuo vyao vya mwanzo ambavyo havijabadilishwa kulingana na elimu za au standard za 'wababe' wa dunia hii british ambao wamedumaza ubongo wa watu wengi kuwa ili uonekane umesoma basi lazima uwe na first degree, masters, phd...... Leo tunaweza tukaita same level of education with other names...hakuna kulazimishana, kwa mfano first degree tunaweza tukaita ngumbaro, masters tukaita dudusa, phd tukaita pozi....japo kwa kiswahili yana majina yao uzamili, uzamivu....problem is that we think british standard is universal is not true.

Italy kwa mfano degree za engineering ni miaka 3 au 4, ukiongeza mmoja unaondoka na masters, ujerumani wanafanya hivyo. Tunaye professor mwandosya ambaye hana masters alivyosoma first degree akafanya research na akawa awarded phd! Canada wana utaratibu huo pia ambao mimi mwenyewe nime-uexperience ukiwa unafanya masters ukafanya vizuri au ukaextend wanakupa phd! So jumping from certificate which equated as degree to phd is normal!

Wanaseminary wengi ni wasomi, wako deep na wengi huwezi kuwapambanisha na sisi tunaofundisha vyuo vikuu...wako mbali.

Ukiangalia uongozi wa catholic churches uko kwenye mifumo ya kipekee sana, very stable sasa hii haitokani na kusoma biblia tu ni masomo meengi sana ambayo mnayasomoa kwenye poltical science, medicines, sociology, history, journalism, social sciences, uchumi, etc., this knowledge have made this institution to be stable ever.

Smile!​

last edited by waberoya; today at 02:45 pm.​


mlaizer,
hii inafanana na ya waberoya mbona!?
?
 
Mkuu, kwanza kama ulivyosema kuwa hauna chembe ya udini wala hidden agenda, swali lako nami nitarijibu bila chembe ya udini, upenzi wala hidden agenda. Mimi ni Mpentecost na kwa bahati najua elimu za kikatoliki.

Miaka ya karibuni kumezuka wakatoliki wengi walio seminary kutaka elimu yao ibadilishwe na kufanana na standard za kidunia kwa sababu au hofu uliyoionyesha.

Ukweli ni kuwa seminary hawafundishwi DINI TU..masomo mengi wanayofundishwa ni ya dunia hii, philosophy, geography, uraia, science courses, mathematics, .....name it wanayasoma vizuri tena kwa uwanja mpana sana.

Kumbuka kuwa neno certificate au degree au diploma are not universal, maneno haya yanabadilika kutoka nchi moja na nyingine. Kwa mfano ufaransa mpaka PhD wanaita certificate, degree ya ujerumani hawaita Bsc wanaiti diploma in engineering. Leo hii kwa mfano unapo-apply shule USA,Canada kuna agents za ku-angalia vyet vyako kama vina meet standard za kwao, kwa hiyo NENO certificate kwa kirumi inaweza ni equivalent na degree fulani au masters fulani ila wanatumia 'certificate'.

Ikumbukwe hata kihistoria japo haipo kwenye biblia Mussa alikuwa mwanasheria na alisoma chuo kikuu kinaitwa ELIMOPOLICE, ambako watoto wa matajiri walikuwa wanasoma wakati yeye akiwa jumba la farao, alisoma masomo mengi zikiwemo tamaduni za ki-misri, sheria, lugha n.k na equaivalent ya elimu yake ya wakati ule ni sawa na degree za sasa.

Hesabu kwa mfano za trigonomoteric zimevumbuliwa miaka 600 B.C lakini ni aghalabu kipindi hicho ukakuta watu wanaitwa professors, Drs, degree holders n.k

Hivyo basi kitamaduni za shule za seminary bado wanashikiria tamaduni za vyuo vyao vya mwanzo ambavyo havijabadilishwa kulingana na elimu za au standard za 'wababe' wa dunia HII BRITISH ambao wamedumaza ubongo wa watu wengi kuwa ili uonekane umesoma basi lazima uwe na first degree, masters, PhD...... LEO tunaweza tukaita same level of education with other names...hakuna kulazimishana, kwa mfano first degree tunaweza tukaita NGUMBARO, masters tukaita DUDUSA, Phd tukaita POZI....japo kwa kiswahili yana majina yao uzamili, uzamivu....problem is that we think british standard is universal IS NOT TRUE.

Italy kwa mfano degree za engineering ni miaka 3 au 4, ukiongeza mmoja unaondoka na masters, ujerumani wanafanya hivyo. Tunaye professor Mwandosya ambaye hana masters alivyosoma first degree akafanya research na akawa awarded PhD! Canada wana utaratibu huo pia ambao mimi mwenyewe nime-uexperience ukiwa unafanya masters ukafanya vizuri au ukaextend wanakupa PhD! so jumping from certificate which equated as degree to PhD is NORMAL!

wanaseminary wengi ni wasomi, wako deep na wengi huwezi kuwapambanisha na sisi tunaofundisha vyuo vikuu...wako mbali.

Ukiangalia uongozi wa catholic churches uko kwenye mifumo ya kipekee sana, very stable sasa hii HAITOKANI na kusoma biblia tu ni masomo meengi sana ambayo mnayasomoa kwenye poltical science, medicines, sociology, history, journalism, social sciences, UCHUMI, etc., this knowledge have made this institution to be stable ever.

Smile!

Heshima kwako Waberoya,

Mkuu umemaliza kila kitu mara nyingi sana kama si zote naheshimu sana michango yako kwasababu moja kubwa umeweka ushabiki wa vyama pembeni haufungwa na ushabiki wa chama chochote.
 
Wakuu inatosha!!!!Kama hajawaelewa basi!!!! Turudi sasa kwenye mjadala wa HOTUBA YA JK.
 
Re: Mbona Watu Hawahoji Kuhusu CV ya Huyu?

Mkuu, kwanza kama ulivyosema kuwa hauna chembe ya udini wala hidden agenda, swali lako nami nitarijibu bila chembe ya udini, upenzi wala hidden agenda. Mimi ni Mpentecost na kwa bahati najua elimu za kikatoliki.

Miaka ya karibuni kumezuka wakatoliki wengi walio seminary kutaka elimu yao ibadilishwe na kufanana na standard za kidunia kwa sababu au hofu uliyoionyesha.

Ukweli ni kuwa seminary hawafundishwi DINI TU..masomo mengi wanayofundishwa ni ya dunia hii, philosophy, geography, uraia, science courses, mathematics, .....name it wanayasoma vizuri tena kwa uwanja mpana sana.

Kumbuka kuwa neno certificate au degree au diploma are not universal, maneno haya yanabadilika kutoka nchi moja na nyingine. Kwa mfano ufaransa mpaka PhD wanaita certificate, degree ya ujerumani hawaita Bsc wanaiti diploma in engineering. Leo hii kwa mfano unapo-apply shule USA,Canada kuna agents za ku-angalia vyet vyako kama vina meet standard za kwao, kwa hiyo NENO certificate kwa kirumi inaweza ni equivalent na degree fulani au masters fulani ila wanatumia 'certificate'.

Ikumbukwe hata kihistoria japo haipo kwenye biblia Mussa alikuwa mwanasheria na alisoma chuo kikuu kinaitwa ELIMOPOLICE, ambako watoto wa matajiri walikuwa wanasoma wakati yeye akiwa jumba la farao, alisoma masomo mengi zikiwemo tamaduni za ki-misri, sheria, lugha n.k na equaivalent ya elimu yake ya wakati ule ni sawa na degree za sasa.

Hesabu kwa mfano za trigonomoteric zimevumbuliwa miaka 600 B.C lakini ni aghalabu kipindi hicho ukakuta watu wanaitwa professors, Drs, degree holders n.k

Hivyo basi kitamaduni za shule za seminary bado wanashikiria tamaduni za vyuo vyao vya mwanzo ambavyo havijabadilishwa kulingana na elimu za au standard za 'wababe' wa dunia HII BRITISH ambao wamedumaza ubongo wa watu wengi kuwa ili uonekane umesoma basi lazima uwe na first degree, masters, PhD...... LEO tunaweza tukaita same level of education with other names...hakuna kulazimishana, kwa mfano first degree tunaweza tukaita NGUMBARO, masters tukaita DUDUSA, Phd tukaita POZI....japo kwa kiswahili yana majina yao uzamili, uzamivu....problem is that we think british standard is universal IS NOT TRUE.

Italy kwa mfano degree za engineering ni miaka 3 au 4, ukiongeza mmoja unaondoka na masters, ujerumani wanafanya hivyo. Tunaye professor Mwandosya ambaye hana masters alivyosoma first degree akafanya research na akawa awarded PhD! Canada wana utaratibu huo pia ambao mimi mwenyewe nime-uexperience ukiwa unafanya masters ukafanya vizuri au ukaextend wanakupa PhD! so jumping from certificate which equated as degree to PhD is NORMAL!

wanaseminary wengi ni wasomi, wako deep na wengi huwezi kuwapambanisha na sisi tunaofundisha vyuo vikuu...wako mbali.

Ukiangalia uongozi wa catholic churches uko kwenye mifumo ya kipekee sana, very stable sasa hii HAITOKANI na kusoma biblia tu ni masomo meengi sana ambayo mnayasomoa kwenye poltical science, medicines, sociology, history, journalism, social sciences, UCHUMI, etc., this knowledge have made this institution to be stable ever.

Smile!​

Last edited by Waberoya; Today at 02:45 PM.​


Mlaizer,

Hii mbona inaharufu ya Waberoya !.
 
Doctor of Canon Law

From Wikipedia, the free encyclopedia

Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.
Members of the Supreme Tribunal of the Apostolic Signatura, Auditors of the Tribunal of the Roman Rota, judicial vicars, ecclesiastical judges, defenders of the bond, and promoters of justice, must possess either a doctorate or license in canon law. Either of the degrees is recommended for those who serve as vicar general or episcopal vicar in a diocese. Candidates for bishop must either possess the doctorate in canon law or the doctorate in sacred theology or be truly expert in one of those fields. Canonical advocates must possess the doctorate or be truly expert.
The Roman Church has the oldest continuously used homogenous legal system in the world. Following the Gregorian Reform's emphasis on canon law, bishops formed cathedral schools to train the clergy in canon law. Consequently, many of the medieval universities of Europe founded faculties of canon law (e.g., Cambridge and Oxford). Since the Protestant Reformation, however, they became limited to those universities which retained Catholic faculties (e.g., Pontifical University of St. Thomas Aquinas (Angelicum), Gregorian University, Catholic University of Louvain, Faculty of Canon Law "S. Pio X" in Venice). Other Catholic universities with ecclesiastical faculties in canon law were subsequently given the ability to grant the degree (e.g., The Catholic University of America, University of Saint Paul). The University of Santo Tomas in Manila, Philippines, has been awarding the degree since 1734.
 
Mkuu, kwanza kama ulivyosema kuwa hauna chembe ya udini wala hidden agenda, swali lako nami nitarijibu bila chembe ya udini, upenzi wala hidden agenda. Mimi ni Mpentecost na kwa bahati najua elimu za kikatoliki.

Miaka ya karibuni kumezuka wakatoliki wengi walio seminary kutaka elimu yao ibadilishwe na kufanana na standard za kidunia kwa sababu au hofu uliyoionyesha.

Ukweli ni kuwa seminary hawafundishwi DINI TU..masomo mengi wanayofundishwa ni ya dunia hii, philosophy, geography, uraia, science courses, mathematics, .....name it wanayasoma vizuri tena kwa uwanja mpana sana.

Kumbuka kuwa neno certificate au degree au diploma are not universal, maneno haya yanabadilika kutoka nchi moja na nyingine. Kwa mfano ufaransa mpaka PhD wanaita certificate, degree ya ujerumani hawaita Bsc wanaiti diploma in engineering. Leo hii kwa mfano unapo-apply shule USA,Canada kuna agents za ku-angalia vyet vyako kama vina meet standard za kwao, kwa hiyo NENO certificate kwa kirumi inaweza ni equivalent na degree fulani au masters fulani ila wanatumia 'certificate'.

Ikumbukwe hata kihistoria japo haipo kwenye biblia Mussa alikuwa mwanasheria na alisoma chuo kikuu kinaitwa ELIMOPOLICE, ambako watoto wa matajiri walikuwa wanasoma wakati yeye akiwa jumba la farao, alisoma masomo mengi zikiwemo tamaduni za ki-misri, sheria, lugha n.k na equaivalent ya elimu yake ya wakati ule ni sawa na degree za sasa.

Hesabu kwa mfano za trigonomoteric zimevumbuliwa miaka 600 B.C lakini ni aghalabu kipindi hicho ukakuta watu wanaitwa professors, Drs, degree holders n.k

Hivyo basi kitamaduni za shule za seminary bado wanashikiria tamaduni za vyuo vyao vya mwanzo ambavyo havijabadilishwa kulingana na elimu za au standard za 'wababe' wa dunia HII BRITISH ambao wamedumaza ubongo wa watu wengi kuwa ili uonekane umesoma basi lazima uwe na first degree, masters, PhD...... LEO tunaweza tukaita same level of education with other names...hakuna kulazimishana, kwa mfano first degree tunaweza tukaita NGUMBARO, masters tukaita DUDUSA, Phd tukaita POZI....japo kwa kiswahili yana majina yao uzamili, uzamivu....problem is that we think british standard is universal IS NOT TRUE.

Italy kwa mfano degree za engineering ni miaka 3 au 4, ukiongeza mmoja unaondoka na masters, ujerumani wanafanya hivyo. Tunaye professor Mwandosya ambaye hana masters alivyosoma first degree akafanya research na akawa awarded PhD! Canada wana utaratibu huo pia ambao mimi mwenyewe nime-uexperience ukiwa unafanya masters ukafanya vizuri au ukaextend wanakupa PhD! so jumping from certificate which equated as degree to PhD is NORMAL!

wanaseminary wengi ni wasomi, wako deep na wengi huwezi kuwapambanisha na sisi tunaofundisha vyuo vikuu...wako mbali.

Ukiangalia uongozi wa catholic churches uko kwenye mifumo ya kipekee sana, very stable sasa hii HAITOKANI na kusoma biblia tu ni masomo meengi sana ambayo mnayasomoa kwenye poltical science, medicines, sociology, history, journalism, social sciences, UCHUMI, etc., this knowledge have made this institution to be stable ever.

Smile!

Doh hadi na mie nimesmile,gud
 
Re: Mbona Watu Hawahoji Kuhusu CV ya Huyu?

Mkuu, kwanza kama ulivyosema kuwa hauna chembe ya udini wala hidden agenda, swali lako nami nitarijibu bila chembe ya udini, upenzi wala hidden agenda. Mimi ni Mpentecost na kwa bahati najua elimu za kikatoliki.

Miaka ya karibuni kumezuka wakatoliki wengi walio seminary kutaka elimu yao ibadilishwe na kufanana na standard za kidunia kwa sababu au hofu uliyoionyesha.

Ukweli ni kuwa seminary hawafundishwi DINI TU..masomo mengi wanayofundishwa ni ya dunia hii, philosophy, geography, uraia, science courses, mathematics, .....name it wanayasoma vizuri tena kwa uwanja mpana sana.

Kumbuka kuwa neno certificate au degree au diploma are not universal, maneno haya yanabadilika kutoka nchi moja na nyingine. Kwa mfano ufaransa mpaka PhD wanaita certificate, degree ya ujerumani hawaita Bsc wanaiti diploma in engineering. Leo hii kwa mfano unapo-apply shule USA,Canada kuna agents za ku-angalia vyet vyako kama vina meet standard za kwao, kwa hiyo NENO certificate kwa kirumi inaweza ni equivalent na degree fulani au masters fulani ila wanatumia 'certificate'.

Ikumbukwe hata kihistoria japo haipo kwenye biblia Mussa alikuwa mwanasheria na alisoma chuo kikuu kinaitwa ELIMOPOLICE, ambako watoto wa matajiri walikuwa wanasoma wakati yeye akiwa jumba la farao, alisoma masomo mengi zikiwemo tamaduni za ki-misri, sheria, lugha n.k na equaivalent ya elimu yake ya wakati ule ni sawa na degree za sasa.

Hesabu kwa mfano za trigonomoteric zimevumbuliwa miaka 600 B.C lakini ni aghalabu kipindi hicho ukakuta watu wanaitwa professors, Drs, degree holders n.k

Hivyo basi kitamaduni za shule za seminary bado wanashikiria tamaduni za vyuo vyao vya mwanzo ambavyo havijabadilishwa kulingana na elimu za au standard za 'wababe' wa dunia HII BRITISH ambao wamedumaza ubongo wa watu wengi kuwa ili uonekane umesoma basi lazima uwe na first degree, masters, PhD...... LEO tunaweza tukaita same level of education with other names...hakuna kulazimishana, kwa mfano first degree tunaweza tukaita NGUMBARO, masters tukaita DUDUSA, Phd tukaita POZI....japo kwa kiswahili yana majina yao uzamili, uzamivu....problem is that we think british standard is universal IS NOT TRUE.

Italy kwa mfano degree za engineering ni miaka 3 au 4, ukiongeza mmoja unaondoka na masters, ujerumani wanafanya hivyo. Tunaye professor Mwandosya ambaye hana masters alivyosoma first degree akafanya research na akawa awarded PhD! Canada wana utaratibu huo pia ambao mimi mwenyewe nime-uexperience ukiwa unafanya masters ukafanya vizuri au ukaextend wanakupa PhD! so jumping from certificate which equated as degree to PhD is NORMAL!

wanaseminary wengi ni wasomi, wako deep na wengi huwezi kuwapambanisha na sisi tunaofundisha vyuo vikuu...wako mbali.

Ukiangalia uongozi wa catholic churches uko kwenye mifumo ya kipekee sana, very stable sasa hii HAITOKANI na kusoma biblia tu ni masomo meengi sana ambayo mnayasomoa kwenye poltical science, medicines, sociology, history, journalism, social sciences, UCHUMI, etc., this knowledge have made this institution to be stable ever.

Smile!​

Last edited by Waberoya; Today at 02:45 PM.​

Mkuu asante kwa ku-copy post yangu , ila at leat ungefanya justice kidogo tu, najua umefanya makusudi kuwa unani-support( isn't it) However in big society like this is better to be straight watu wanaweza kufikiri wewe ndio mimi!

Kindly say something!
 
akili yake tu ni cv ya kutosha, kwasababu anayo akili kuliko maprof wa udsm watano...kwa pamoja wote hawamzidi...upo hapo?
 
======================================================
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
========================================================

Ndugu wana JF. Hiyo ni Elimu ya "President" wetu Dr. Wilbord Slaa. Inapatikana katika CV rasmi ambayo aliiwasilisha bungeni.

Wana JF, tumekuwa wakali ku-scrutinize elimu za watu hasa wanapotoa mawazo yanayopingana na itikadi na mwenendo jumla wa CDM. Rejea thread hapa iliyokuwepo wiki iliyopita iliyokuwa ikimchambua DR. BANA. Mengi yalisemwa kuhusu elimu yake nk.

Lakini nimeipita CV ya mteule wetu Dr. (PHD). Slaa, napata maswali mengi. Hakuna amount of faith I have wala my love to the person and the party imeweza kuniondolea utata huu. Hasa ukizingatia tunavyokuwa wakali na kejeli kwa wengine.

Ukiangalia elimu ya Dr. ni ya kiseminari through and through! Ingekuwa mtu mwingine hiyo ingekuwa negative credit hapa JF na angepata a lot of stick!

Mbaya zaidi kwa Dr (PH. D) sioni sehemu aliyofanya Bachelor wala Masters Degree! Kutoka CERTIFICATES ghafla inaibuka PH.D! Jee hapa hamana ombwe tunalolifumbia macho?

Habari ya kuwa (some cerificates) are equivalent to degree, ningeikubali kama angekuwa anafanya Masters!

Najua kwanini hii ilipita, ni kwasababu kasoma katika vyuo vya kiimani ambavyo haviwi- regulated na any independent credible academic authority! Kwa maneno mengine hii ni kama ile ya akina Dr. Kamala!

USIACHE IMANI/MAPENZI YAKO YAFUNIKE UKWELI!






We nawe umetoka wapi? unataka mtu asome Advance Diploma hapohapo unataka uone Bachelor degree?
 
We nawe umetoka wapi? unataka mtu asome Advance Diploma hapohapo unataka uone Bachelor degree?

Kwa hili hata mimi nisieijua siasa nitahoji. Tatizo ninaliona ni vile mtu anatafuta jibu la swali fulani wakati akilini mwake kashajiwekea jibu. Hata akikutana na jibu linapingana au tofauti na anavyoamini/anavyojua basi atang'ang'ania mpaka lile alilonalo liwe ndio jibu. Wakati sio kweli......

Advanced Diploma ni equivalent to degree kwa Tanzania yetu mpaka sasa, achilia mbali wakati huo wa akina Dr!!!
 
Back
Top Bottom