hapana hii sheria ya mtandao haijaanza kutumika. mkuu usidanganye watu bhana yule aliyepongeza majambazi ameshitakiwa kwa sheria ya magaxeti na ci ya mtandao
mkuu umesema alinyea debe wiki nzima ktk kituo gani cha polisi na ni kwa kosa gani litakalomuweka wiki nzima. Mi siamini sheria inatoa haki mtu kudhaminiwa na anatakiwa akae masaa 24 polisi sasa wiki duuu??????
Eneo la Mbezi kwa Msuguri sasa majambazi wanaotumia silaha wamekuwa tishio.
Jana na majuzi wamewapora watu fedha kwa kutumia bastola jioni jioni.
Jamani hali ni tete
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.