Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

Eneo la Mbezi kwa Msuguri sasa majambazi wanaotumia silaha wamekuwa tishio.

Jana na majuzi wamewapora watu fedha kwa kutumia bastola jioni jioni.

Jamani hali ni tete
 
Kaa sehemu zoote kwa Msuguri lakini avoidi kukaa pale forest. Pale wako watu wanakusoma kuanzia bia ya kwanza mpaka ya mwisho. ukiondoka unasindikizwa mpaka kwako. wakishakufikisha home na wanajua umelewa hapo ndio wanaingia kwako kama kwao wakiwa na uhakika kwamba umelewa.
Kama utaenda pale kwa bahati mbaya, baasi usijaribu kuwazoea wale wadada wanaokaa upande ule wajuu wanaokaa kihasarahasara kwa kuonesha mapaja na vyupi,,,,UTALIA
 
Kaa sehemu zoote kwa Msuguri lakini avoidi kukaa pale forest. Pale wako watu wanakusoma kuanzia bia ya kwanza mpaka ya mwisho. ukiondoka unasindikizwa mpaka kwako. wakishakufikisha home na wanajua umelewa hapo ndio wanaingia kwako kama kwao wakiwa na uhakika kwamba umelewa.
Kama utaenda pale kwa bahati mbaya, baasi usijaribu kuwazoea wale wadada wanaokaa upande ule wajuu wanaokaa kihasarahasara kwa kuonesha mapaja na vyupi,,,,UTALIA

mbona Mimi forest undo sebulen kwangu na hayo mambo hayapo?
 
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu

aisee!!! mkeo shujaa kuliko wewe???!!!
 
Tunaomba ufafanuzi wa kina na mifano kwa baadhi ya matukio yatokeayo huko kwa Mbezi kwa Msuguli il nasi tuanze kujipanga namna gani ya kujilinda kabla hawajafika kwenye maeneo yetu...
 
Kaa sehemu zoote kwa Msuguri lakini avoidi kukaa pale forest. Pale wako watu wanakusoma kuanzia bia ya kwanza mpaka ya mwisho. ukiondoka unasindikizwa mpaka kwako. wakishakufikisha home na wanajua umelewa hapo ndio wanaingia kwako kama kwao wakiwa na uhakika kwamba umelewa.
Kama utaenda pale kwa bahati mbaya, baasi usijaribu kuwazoea wale wadada wanaokaa upande ule wajuu wanaokaa kihasarahasara kwa kuonesha mapaja na vyupi,,,,UTALIA

Mkuu umetoa tahadhari nzuri sana barikiwa
 
Kaa sehemu zoote kwa Msuguri lakini avoidi kukaa pale forest. Pale wako watu wanakusoma kuanzia bia ya kwanza mpaka ya mwisho. ukiondoka unasindikizwa mpaka kwako. wakishakufikisha home na wanajua umelewa hapo ndio wanaingia kwako kama kwao wakiwa na uhakika kwamba umelewa.
Kama utaenda pale kwa bahati mbaya, baasi usijaribu kuwazoea wale wadada wanaokaa upande ule wajuu wanaokaa kihasarahasara kwa kuonesha mapaja na vyupi,,,,UTALIA
Hiyo forest ndiyo hiko wapi mkuu, tujuzane hili tuitambue ili tuweze kuchukua tahadhari.
 
tatizo kubwA inaonekanA haO jamaA wanaofanyA matukio wanashnda sana kwenye hzo bar na wanajuA kilA ktu kinachoendeleA ndanI na wanamsomA kilA mtejA anayekujA kwA hyo wakiamuA kufanyA yaO huwA hawabahatishI
 
Back
Top Bottom