Recent content by Adam waTZ

  1. A

    Hebu malizia hii!

    daah,man kwani phone yangu inanizingua yaan nikicomment halafu nikibonye back post inajiandika kama vile mimi ndiyo nimeituma sorry kwan imetokea kwenye post yako
  2. A

    Hebu malizia hii!

    Ila sio tusi
  3. A

    Robot

    hiyo ndiyo sababu kuu tena sio kulala tu yaani hadi anaota inaonyesha huwa akilala fofofoo kabisa sa atalinda vipi
  4. A

    Robot

    Ilikuwa ni siku ambayo boss anasafiri kwa ndege asubuhi anajiandaa kuondoka ndipo alipewa taarifa na mlinzi wake kuwa usiku ameota ndege atakaepanda boss imeanguka na hakuna aliyepona ndipo boss akaamua kusitisha safari kweli baada ya muda taarifa kuhusu hiyo ndege kuwa imeanguka zinatangazwa...
  5. A

    Yaan mara kwa mara nilikuwa nikishidwa kujibu hii

    yes. Well done, kweli tumekuwa na kiakili enzi hizo ni bonge la mtihani
  6. A

    Yaan mara kwa mara nilikuwa nikishidwa kujibu hii

    daah mwana unaweza. kiukweli ilikuwa hot enzi hizo
  7. A

    lol!

    Daah, ziko poa
  8. A

    Yaan mara kwa mara nilikuwa nikishidwa kujibu hii

    yaah kimoja kimoja mbona inawezekana we chemsha bongo tu
  9. A

    Yaan mara kwa mara nilikuwa nikishidwa kujibu hii

    Ilikuwa ni chemsha bongo. Kwamba umepewa vitu vitatu ambavyo ni simba, nyasi au majani na mbuzi .sasa uvivushe mto kimoja baada ya kingine usivushe zaidi ya kimoja na uhakikishe vinafika salama vyote so kumbuka ukivusha simba ukaacha mbuzi na majani ina maana mbuzi atakula majani na kama...
  10. A

    Re: Kuchukua hatu!

    majibu ya daktari ni mapigo ya moyo kwenda isiyo kawaida
  11. A

    Re: Kuchukua hatu!

    First time nafanya sex nilikuwa na 21 yrs lakini cha ajabu imekua karaha na sio raha tena maana kila ninapo sex na wasichana wamekuwa wakizimia na nimekamatwa na polisi mara 3 mara ya 3 ilikuwa 28-8-2011 polisi Kigamboni. Msichana wa kwanza first aid hakuzinduka mpaka hospital na wapili...
  12. A

    Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

    Matokeo yake ya form four amefeli kwani hafai anakera
  13. A

    Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

    Huyo jamaa aklri hana nakumbuka hata kipindi wana funzi wanagoma kuongezewa fedha ya kujikim alikuwa akipinga sana eti ooh wanataka anasa jamaa si mzima
  14. A

    Mgao wa Umeme: Tatizo ni UKAME - Kikwete akihojiwa na BBC

    Mwanangu pasco, 2015 anaiona mbali saaanaaa natamani hata kufa.
Back
Top Bottom