My Take.
Japo ni kweli sababu kuu ya mgao huu wa umeme ni ukame, Tanzania would have done better by now kama tatizo lilijulikana tangu 2006, ila pia huu ni wakati kwa sisi Watanzania tuitikie mwito wa rais wetu, " Tupunguze kulalamika tuu, tuje na solutions, serikali ikizikataa ndipo tuibeze kuwa "Tuliwashauri na hamkusikia!"
Pasco
Pure arrogance! Does the President imply that we either do something about it or put up with it? Kama yeye na serikali yake hawana suluhisho la utatuzi wa tatizo la umeme, basi akae pembeni awapishe wale wenye suluhisho na asitake kupata majibu ya dezo hapa!Rais Jakaya Kikwete, ameuzungumzia mgao wa umeme unaendelea sasa nchini kote, amesisitiza "tatizo ni ukame".
...
Pia Rais Kikwete, ameuhakikishia tena ulimwengu kupitia BBC kuwa serikali yake ni sikivu, kama kuna watyu wenye hoja za msingi kuhusu utatuzi wa tatizo la umeme, wasiishie tuu kulalamika, bali waje na hoja za jinsi ya kutatua tatizo hili na serikali yake itazipokea hoja hizo na kuzifanyia kazi.
My Take.
Japo ni kweli sababu kuu ya mgao huu wa umeme ni ukame, Tanzania would have done better by now kama tatizo lilijulikana tangu 2006, ila pia huu ni wakati kwa sisi Watanzania tuitikie mwito wa rais wetu, " Tupunguze kulalamika tuu, tuje na solutions, serikali ikizikataa ndipo tuibeze kuwa "Tuliwashauri na hamkusikia!"
Pasco
umesema kweli mkuu!eti hakuna umeme kisa kuna ukame,jee nchi zenye mvua haba miaka yote kama ethiopia hakuna umeme?ina maana pesa za kilimo kwanza zimepotea bure mwaka huu kisa hakuna mvua?mwaka 2005 babayangu alisema maneno haya '' kikwete is the worst president we ever had''juzi nimeenda kumuona huko kijijin kwake akatoa tena kauli hii ''' we have the president who cannot think beyond the next meal''
ok, nimeukubali udhuru wako, nimeku excuse, hivyo unaweza tuu kuendelea.Excuse me!
Milindi, kama ni kweli, ulikuwa unamheshimu JK lakini kwa jinsi alivyojieleza ndio unasema sasa Tanzania hatuna rais!, this is not right, ukisema hatuna rais, sasa huyu aliyepo ndio nani?.nilikuwa namheshimu sana jk kwa jinsi alivyojieleza tanzania hatuna rais.tangu mwaka 2006 mpaka leo anataka kutueleza kuwa hakuna watu wanaoweza kutengeneza mitambo kwa muda mfupi?????.hata kama ni corrupt dk.idrissa sasa tunakukumbuka tupo giza.
Mkuu Nyunyu, pale mwaka 2006 rais wetu alipotuambia maneno hayo, kuwa serikali yake itaondoa kabisa tatizo la umeme liwe historia, jee pia alisema ataliondoaje?, na jee aliweka time frame?. Kwa vile kipindi chake ni miaka kumi, kwa wale wenye imani kali kama yangu, bado tunaaminia kuwa kabla hajamaliza miaka yake 10, tatizo la umeme litakuwa ni historia.Mkuu Pasco asante sana!! Maana wengine tulikuwa bado tumejichimbia kwenye haya maofisi ya waajiri wetu, hatukumsikia.
Lakini JK simlaumu, maana upole wetu umemfanya amelala usingizi wa pono!!! Wakati mgao unaanza kushika kasi 2006, tulimsikia huyu akisema serikali yake itaondoa kabisa tatizo la umeme, liwe historia!!!
He should pilot his cabinet to leave the office!!! A failed president...
bht, ili uweza kuishi kwa raha, lazima uwe na imani pasipo mashaka kuwa good things are coming no matter when. Kwa hili la umeme, limehubiriwa sana hata katika mkukuta lipo, kwenye mkurabita lipo, kwenye mkumbita lipo, na hata katika huu mpango wa maendeleo wa juzi juzi pia lipo, naomba tuwe na subira kama walivyo nduigu zetu wanaomsubiria masiya wakikesha na kuomba kwa maana hamjui siku atakaporudi,Tafadhali Pasco!Hatua ni zipi hizo? Na ziko njia gani ambako hakupitiki miaka nenda rudi?Fikiria makali ya umeme 2006 hadi leo yameongezeka kiasi gani? Kila siku juhudi za makusudi zinafanywa na hatuzioni sisi/mimi!Mwanzoni mwa mwaka tuliambiwa mgao ni kwa mwezi wa January tu....leo hii ni July na hali ni mbaya kuliko.Hebu nisaidie na mm niishi kwa matumaini Pasco.
Katika mahojiano hayo rais alisisitiza kama ni mitambo tuu bora mitambo, hii ipo tele!, sisi hatutaki bora mitambo, tunataka mitambo bora, na mambo mazuri siku zote, hayataki haraka, tumeshaiagiza na imeshaanza kuwasili. Kama hasira za Watanzania ni hiki ki giza cha leo, basi msiwe na wasiwasi, kabla ya 2015, tutapata mwanga wa milele na tukiwarudisha tena ndio tunaelekea kabisa kwenye nuclear power plant!.Kwa hio hii mitambo ni customized.., yaani ukitoa order ndio watu wanaingia kiwandani kuanza kutengeneza.., hakuna stock kabisa
Watu, hili nalo neno!. Kusema ukweli viongozi wetu wa kitaifa wana ulimbukeni wa kupapatikia vyombo vya habari vya nje, na mimi binafsi hili linanisikitisha na kunihuzunisha.Mbona hayo maneno hatwambi raia wake kupitia TBC anakwenda yasemea ughaibuni?
duh...wandugu...maneno mengine yanaumiza kweli! kweli bongo unaweza kufa kwa pressure ukiwa serious! wenzetu wachina wamejenga daraja refu kuliko yote duniani kwa miaka minne.....sisi watanzania kuleta mitambo ya umeme iliyokwisha tengenezwa inatuchukua miaka mitano?? unaendaje kwenye uzalishaji wa umeme kwa nguvu za neclear wakati hata huu wa upepo unatushinda??unawaza nuclear power plants wakati hata contingency plans nch hii hakuna... angalia mabomu yenyewe tu yanavyotuzingua!! nachukulia hoja yako hapo juu kama joke tu ...lakini kama uko serious...k.m! ngoja nilale mie kuzaliwa bongo kweli nuksi!Katika mahojiano hayo rais alisisitiza kama ni mitambo tuu bora mitambo, hii ipo tele!, sisi hatutaki bora mitambo, tunataka mitambo bora, na mambo mazuri siku zote, hayataki haraka, tumeshaiagiza na imeshaanza kuwasili. Kama hasira za Watanzania ni hiki ki giza cha leo, basi msiwe na wasiwasi, kabla ya 2015, tutapata mwanga wa milele na tukiwarudisha tena ndio tunaelekea kabisa kwenye nuclear power plant!.