Takwimu zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani kote ndio maana wanaume wengine wanaoa wakee wengi na wengine wanaoa mmoja lakini nje pia wapo ili haki itendeke kwa wote, sasa kila mwanaume akiwa na mke mmoja na hawatoki nje inamaana wanawake wengine watakosa hata wakufanya nao mapenzi na huku wengine wakifurahia mapenzi je ni haki? Ndio maana ushindani kwa wanawake kuolewa unaongezeka siku hadi siku