Hawaweki historia hii kwenye vitabu, sababu ya kuhofia udini mtajua asili ya nchi yenu, imetokana na dini gani ndo maana wakawaachia nyerere, nyerere ni MTU mdogo sana kwenye Uhuru wa Tanzania, yaani tukiwafufua wazee Leo watalia kuona nyerere mnamuita baba wa taifa, ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.