Sheria za utumishi wa uma"Standing Orders 2009" zirekebishwe

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,093
1,408
Sheria hizo hasa Public service Regulations 2003 na Public Service Standing Order 2009 zimepitwa na wakati. Zinapingana na kasi ya serikali ya sasa ya "hapa kazi tu" na ilani ya ccm ya uwajibikaji kwa utumishi wa uma. Sheria hizi hazina spirit ya uwajibikaji. Zipo kimazoea zaidi. Aidha, zina gaps/lacuna nyingi. Wasimamizi wamepewa discretion kubwa. Baadhi ya "leave" zimekuwa ni za muda mrefu sana ukilinganisha what is provided in th framework Law, Employment and Labour relations Act 2004. Human Resource officers(HRO) hawajatambuliwa na sheria hizi, hivyo enforcement yake ni ngumu. Hali hii imesababisha kuwe na "wafanyakazi hewa wengi".

Sheria hizi ziko biased sana kwa kulinda kupita kiasi masilahi ya wafanyakazi wa umma, kwasababu zilitungwa na wafanyakazi wa umma wenyewe; contrary to the rules against bias"Nemo judex in causa sua".

Hayo ni baadhi ya mapungufu yaliyomo kwenye sheria hizo ambazo ni chanzo cha utumishi wa umma kwenda kwa "kasi ya kobe"; that is poor performance,inefficiency, poor productivity,poor delivery of service to the wananchi as well. Kwa sheria hizi kama zilivyo sasa, hatutafika.

Wayforward: We should put "Tanzania first" by taking bold actions to amendment such bad laws aiming at fostering and ensuring efficiency, accountability, integrity, of the public service. The era of "empty talks has gone. We are in the of action,results". The bottom line is, the public service must be in line with the philosophy of the current government, Hapa kazi tu!

Simple analysis made by a PhD Law student specializing in Labour Law.
 
Sheria hizo hasa Public service Regulations 2003 na Public Service Standing Order 2009 zimepitwa na wakati. Zinapingana na kasi ya serikali ya sasa ya "hapa kazi tu" na ilani ya ccm ya uwajibikaji kwa utumishi wa uma. Sheria hizi hazina spirit ya uwajibikaji. Zipo kirafiki sana. Aidha, zina gaps/lacuna nyingi. Wasimamizi wamepewa discretion kubwa. "Leave" zimekuwa ni za muda mrefu sana ukilinganisha what is provided in th framework Law, Employment and Labour relations Act 2004. Human Resource officers(HRO) hawajatambuliwa na sheria hizi, hivyo enforcement yake ni ngumu. Hali hii imesababisha kuwe na "wafanyakazi hewa wengi". Sheria hizi ziko biased sana kwa kulinda kupita kiasi masilahi ya wafanyakazi umma, kwasababu zilitungwa na wafanyakazi wa umma wenyewe; Contrary to the rules against bias"Nemo judex in causa sua".Hayo ni baadhi ya mapungufu yaliyomo kwenye sheria hizo ambazo ni chanzo cha utumishi wa umma kwenda kwa "kasi ya kobe"; that is poor performance,inefficiency, poor productivity as well. Wayforward:Amendment is inevitable for the public service to corp with th speed of the current government.Simple analysis by a PhD Law student specializing in Labour Law.
Kabda hazijarekebishwa omba kwanza katiba inayompa raisi lundo la madaraka ibadilishwe
 
Kabda hazijarekebishwa omba kwanza katiba inayompa raisi lundo la madaraka ibadilishwe
Don't bring a new issue. Better have a new thread for that purpose. My issue is about the Public Service Laws in relation to the speed and philosophy of the current government, "Hapa kazi tu".
 
Don't bring a new issue. Better have a new thread for that purpose. My issue is about the Public Service Laws in relation to the speed and philosophy of the current government, "Hapa kazi tu".
Hiyo hapa kazi tu ipo kwenye public service laws...kwanini unataka kuchanganya philosophy zinazotokana na wanasiasa na public service laws zinazotokana na katiba ya nchi??
 
Sheria zingine mbovu hata hamtupii jicho muda wote mnawaza kumbana mtumishi tu pekeee ..mapungufu ya kisheria juu ya mamlaka ya rais wala hamyaoni,kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi kwenu sio shida.
 
Sheria zingine mbovu hata hamtupii jicho muda wote mnawaza kumbana mtumishi tu pekeee ..mapungufu ya kisheria juu ya mamlaka ya rais wala hamyaoni,kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi kwenu sio shida.
Such issues have their own forum.
 
Sheria hizo hasa Public service Regulations 2003 na Public Service Standing Order 2009 zimepitwa na wakati. Zinapingana na kasi ya serikali ya sasa ya "hapa kazi tu" na ilani ya ccm ya uwajibikaji kwa utumishi wa uma. Sheria hizi hazina spirit ya uwajibikaji. Zipo kirafiki sana. Aidha, zina gaps/lacuna nyingi. Wasimamizi wamepewa discretion kubwa. Baadhi ya "leave" zimekuwa ni za muda mrefu sana ukilinganisha what is provided in th framework Law, Employment and Labour relations Act 2004. Human Resource officers(HRO) hawajatambuliwa na sheria hizi, hivyo enforcement yake ni ngumu. Hali hii imesababisha kuwe na "wafanyakazi hewa wengi". Sheria hizi ziko biased sana kwa kulinda kupita kiasi masilahi ya wafanyakazi umma, kwasababu zilitungwa na wafanyakazi wa umma wenyewe; Contrary to the rules against bias"Nemo judex in causa sua".Hayo ni baadhi ya mapungufu yaliyomo kwenye sheria hizo ambazo ni chanzo cha utumishi wa umma kwenda kwa "kasi ya kobe"; that is poor performance,inefficiency, poor productivity as well. Wayforward:Amendment is inevitable for the public service to corp with th speed of the current government.Simple analysis by a PhD Law student specializing in Labour Law.
Hii ndio shida ya viwanasheria koko/uchwara vikijua kidogo tu hujifanya vinajua sana. Hii yote inatokana na ukosefu wa ajira mtafukunyua weee vijimambo ilimradi tu muwachonganishe watumish wa umma serikali yao lakin still serikali haitoi ajira aaagghh!!!:(:mad::mad::(:(:(:(
 
Hiyo hapa kazi tu ipo kwenye public service laws...kwanini unataka kuchanganya philosophy zinazotokana na wanasiasa na public service laws zinazotokana na katiba ya nchi??
Jamaa anachanganya slogan na laws. Hizo slogan mtu ana copy tu ssomwehere na kuziropokea Tz. Kwa hiyo tungekua na Ari mpya kasi mpya laws, na leo tungezibadirisha za hapa kazi tu, akija mzee wa elimu kwanza tungekua na za elimu elimu elimu. Matatizo ya public sector ya Tanzania ni siasa mingi kuliko utaalam. Mkurugenzi wa idara ya mifugo ana phd ya kiswahili na huyu prof mgaya wa viumbe vya baharini ndie mkurugenzi wa NIMR. Waziri anaejua kusoma na kuandika ndie final say ktk wizara yake kilimo. Au biashara acha kusomea biashara lakini hajawahi hata kuendesha genge la mkaa.. Mbaya zaidi madaraka Yao hayahojiwi.. Then unaota public sector yenye kasi. Kwani big result now iko wapi? Kilimo kwanza huku hata bajeti ya pembejeo unategemea donors... Tuache tufanye kazi kwa raha zetu mishahara yenyewe bora hata kondacta wa daladala...
 
Don't bring a new issue. Better have a new thread for that purpose. My issue is about the Public Service Laws in relation to the speed and philosophy of the current government, "Hapa kazi tu".
Sheria hazikutungwa kwa ajili ya kuhudumia "hapa kazi tuu" zimehudumia taifa tokea enzi za "ruksa" enzi za :"ukapa" na hata zama za "maisha bora kwa kila mtanzania" sheria hizo zimetimia utumishi uliotukuka.....

hakuna kosa kwenye sheria bali ni mtazamo wa vimbelefront kama wewe na wanufaika wenzako wa zama za "kasi" bila mwelekeo sahihi.

tukiendelea kuamini kuwa watumishi wa umma hawafanyi kazi kuwa wanadekezwa na kulindwa na sheria basi inatupasa pia kuangalia na utendaji wa rais unapokuwa mbovu huenda unasababishwa na lundo la mamlaka ya uungu mtu aliopewa na katiba....

MBAAZI ASIPOZAA HUSINGIZIA JUA .....
 
Usitoke povu, bali leta hoja tujenge nchi yetu,"Tanzania first".
 
Sheria hizo hasa Public service Regulations 2003 na Public Service Standing Order 2009 zimepitwa na wakati. Zinapingana na kasi ya serikali ya sasa ya "hapa kazi tu" na ilani ya ccm ya uwajibikaji kwa utumishi wa uma. Sheria hizi hazina spirit ya uwajibikaji. Zipo kirafiki sana. Aidha, zina gaps/lacuna nyingi. Wasimamizi wamepewa discretion kubwa. Baadhi ya "leave" zimekuwa ni za muda mrefu sana ukilinganisha what is provided in th framework Law, Employment and Labour relations Act 2004. Human Resource officers(HRO) hawajatambuliwa na sheria hizi, hivyo enforcement yake ni ngumu. Hali hii imesababisha kuwe na "wafanyakazi hewa wengi". Sheria hizi ziko biased sana kwa kulinda kupita kiasi masilahi ya wafanyakazi umma, kwasababu zilitungwa na wafanyakazi wa umma wenyewe; Contrary to the rules against bias"Nemo judex in causa sua".Hayo ni baadhi ya mapungufu yaliyomo kwenye sheria hizo ambazo ni chanzo cha utumishi wa umma kwenda kwa "kasi ya kobe"; that is poor performance,inefficiency, poor productivity as well. Wayforward:Amendment is inevitable for the public service to corp with th speed of the current government.Simple analysis by a PhD Law student specializing in Labour Law.
Speed inapotoshwa kabisa. Speed kwa kutumia mizania ipi na specifically kwenye mambo gani hasa? Speed kwa kiwango gani, kwenye mambo gani? Isijengeke dhana kana kwamba huko nyuma watu hawaja fanya chochote!
 
Speed inapotoshwa kabisa. Speed kwa kutumia mizania ipi na specifically kwenye mambo gani hasa? Speed kwa kiwango gani, kwenye mambo gani? Isijengeke dhana kana kwamba huko nyuma watu hawaja fanya chochote!
Good analysis
 
Back
Top Bottom