thalostchild
Member
- Apr 16, 2015
- 79
- 23
Ase stor ni nzur saaanaa..bigbup bold...usinichkonoe kuni tag.
The bold si anatuongopea Basi tuache wenyewe tunapenda kuongepewa.... Wewe Na hii video yako anzisheni uzi wenu mpya....
UMEMSKIA VIZURI UYO MCHAMBUZI AU KICHEFU CHEFU CHA KUTAPIKA MANENO YAKO KILIKUSHIKA SASA UMEAMUA KUTAPIKA, MBONA UJAMSKIA ALIVYO SEMA KUHUSU MTU ALIYEIBIWA PASPORT KWENYE HILO TUKIO NA AKA JITOKEZA KUSEMA KUA HAJAFA NA PASSPORT YAKE IILIIBIWA NA KUWEKWA KATI YA HIZO NDEGE ZILIZODONDOKA, UNAKIMBILIA ISRAEL NANI KAKUPELEKA HUKO, UMEPEWA MWANGAZA NENDA ATA KA GOOGLE UJUE NI KWELI AU LAA, UNATAKA HII VIDEO NIFUTE ILI IWEJE, WATU WAENDELEE KUKECHI? TULIA,
Mbona kama zinakuwa fupi sana refusha kidogo mkuu
page namba 40me sijaipata bado ipo post ya ngapi???
Check post namba
Sehemu ya tatu imetoka? ipo post no ngapi?
Nenda post namba moja (# 1) mwanzoni.! Nimeweka link pale mwishoni za sehemu ya pili na sehwmu ya Tatu.. Bofya tu inakupeleka moja kwa moja..me sijaipata bado ipo post ya ngapi???
Shukrani mkuu..Heshima kwako mkuu.... Lete nondo
Bila shaka mkuu..Ase stor ni nzur saaanaa..bigbup bold...usinichkonoe kuni tag.
Pamoja sana mkuj! Salute..Mkuu The Bold kwa mtiririko tu wa story ya September 11 haloo nakusoma sana na unaeleweka, kama vile naangalia movie yani
Mkuu, kulikuwa na sababu gani ya kumtukana mwenzako badala ya kumsahahisha?'Fala'una quote uzi wote ili iweje?
Pamoja sana chief..Ahsante sana kaka The Bold
i can't wait the next one
Wamezidi hawa watu,kila siku tunapiga kelele kuhusu hili suala la ku quote uzi mzima.Ifike mahali watu wazima waone aibu.Mkuu, kulikuwa na sababu gani ya kumtukana mwenzako badala ya kumsahahisha?