HHAHAHAHA unapotosha ukiwa omba omba connection unakosa maana ni ngumu mtu mwenye akili timamu mwenye connection zake akubali kukukonekti na watu wa maana kwa maana utamwaibisha.
Hizi operation za uzeeni wakati mwingine sio nzuri hata kidogo. Mfano kwetu bibi yangu alikuwa na miaka ya 75 macho yakawa yanamsumbua akafanyiwa operation jicho moja, ikawa ndo basi, halioni tena, ila lile jicho lingine ambalo ambalo halikufanyiwa Operation ndo linamsaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.