DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,025
- 45,568
Kwa uzoefu wangu niliokutana nao hapa Tanzania na Africa nimegundua vijana watanzania wanaponzwa na kupenda kuomba hela ,hii inaua connection kwa haraka Sana.
Haya mambo sita unabidi kuyazingatia kijana
@ Kuhakikisha unakuwa Giver na sio taker.
@ Self improvement -jifunze namna ya kuwasiliana na Kuwasilisha jambo kwa lugha inayoeleweka.
@ Mungu - kuwa na misingi inayoenesha unazingatia uwepo Wa supernatural power.
@ hakikisha wale watu wako muhimu hauwaombi hela bali kazi tu ,usiombe hela utaua brand mapema Sana.
@ Uaminifu - hakikisha unakuwa mwaminifu usiibe hata 50 ya MTU
@ Kushukuru - Gratitude iwe unafanya kila Siku
Haya mambo sita unabidi kuyazingatia kijana
@ Kuhakikisha unakuwa Giver na sio taker.
@ Self improvement -jifunze namna ya kuwasiliana na Kuwasilisha jambo kwa lugha inayoeleweka.
@ Mungu - kuwa na misingi inayoenesha unazingatia uwepo Wa supernatural power.
@ hakikisha wale watu wako muhimu hauwaombi hela bali kazi tu ,usiombe hela utaua brand mapema Sana.
@ Uaminifu - hakikisha unakuwa mwaminifu usiibe hata 50 ya MTU
@ Kushukuru - Gratitude iwe unafanya kila Siku