Umeona aiseeBora umewaambia mkuu
Pesa haina domo zege. Jaliwa kuongea sana bila pesa utakuwa mpiga kelele tu. Mademu wazuri utaishia kuwapa story lakini wataliwa na wengine.Kila domo zege anaamini akiwa na pesa atapata kila dem mzuri
Kama haujui ku soundisha utaishia kuwapata wanawake wenye njaa au shida za kifedha mwanamke yeyote ile hua anapenda kupigushwa sound kama ni soundless utaishia kununua wanawake tuuPesa haina domo zege. Jaliwa kuongea sana bila pesa utakuwa mpiga kelele tu. Mademu wazuri utaishia kuwapa story lakini wataliwa na wengine.
Let us agree not to agree.Kama haujui ku soundisha utaishia kuwapata wanawake wenye njaa au shida za kifedha mwanamke yeyote ile hua anapenda kupigushwa sound kama ni soundless utaishia kununua wanawake tuu
Hapana kaka uwezi kusema anakupenda wakati anakuonyesha hakupendi unaona hata unapomwita mwenzako anachati na wengine mwanamke anayekupenda hawezi fanya tena sio wanaume wenzako anakupanga tu kumbe inaonyesha hakutakiHizo dalili zipo nyingi sana, tunaweza kuziandika hata kwenye counter book 10 na bado tusizimalize, zingine sio za kweli wakati mwingine tunawaonea tu hawa wanawake.
Dalili nyingine zinakwenda na wakati, mfano usichukulie kuwa mwanamke asipokujibu meseji zako eti hakupendi, ukweli ni mdogo sana kwenye dalili kama hii. Mimi nimewahi kuwa na mwanamke ambaye kujibu meseji kwake ilikuwa kama kituo cha Polisi, ni kitu ambacho automatically hapendi hata kuchat nae ilikuwa ni kidogo sana na si kwamba alikuwa hapendi, alikufa, akaoza juu yangu.
Mwisho; mwanaume ukifuata na kuziamini sana hizo dalili kwa dunia ya leo, kamwe hutakuja kuishi, wala kudumu na mwanamke yoyote. Naamini dalili kubwa ya mwanamke ni kuwa hatabiriki, leo atakununia, kesho atakuchekea, leo atakuacha kwa sababu umefulia, kesho atarudi na magoti analia hata mvua kuna wakati mawingu yanaonesha inataka kunyesha, lakini hainyeshi.
Hapana lakini io inaonyesha na ukilazimisha sana utafurahi sasa mawasiliano mpaka ww umtafute aisee anajibu sms baada ya masaa 2 kumbe online anachati na wengine aaah aisee uvumilivu upo ila mbaya sana mtu akupotezee muda wako sababu hakujali ndio saiv wanadanganywa kila sehemu kumbe anayempenda naye anamzinguaNickson Swai kwa hiyo mwanamke ukiwa unachat nae mara kwa mara, ndio anakupenda sana?
Pia wachambuzi wanasema mawasiliano finyu ni ishara tosha kwamba hakuna mapenz saiv ni biashara sababu ukweli haupo mtu ameolewa ww umesafiri anaingiza mabwana au mke wa mtu bado anadanga nje na mpenz wake wa dhamani aisee hapana.Nickson Swai kwa hiyo mwanamke ukiwa unachat nae mara kwa mara, ndio anakupenda sana?
Well said mkuuHizo dalili zipo nyingi sana, tunaweza kuziandika hata kwenye counter book 10 na bado tusizimalize, zingine sio za kweli wakati mwingine tunawaonea tu hawa wanawake.
Dalili nyingine zinakwenda na wakati, mfano usichukulie kuwa mwanamke asipokujibu meseji zako eti hakupendi, ukweli ni mdogo sana kwenye dalili kama hii. Mimi nimewahi kuwa na mwanamke ambaye kujibu meseji kwake ilikuwa kama kituo cha Polisi, ni kitu ambacho automatically hapendi hata kuchat nae ilikuwa ni kidogo sana na si kwamba alikuwa hanipendi, alikufa, akaoza juu yangu.
Mwisho; mwanaume ukifuata na kuziamini sana hizo dalili kwa dunia ya leo, kamwe hutakuja kuishi, wala kudumu na mwanamke yoyote. Naamini dalili kubwa ya mwanamke ni kuwa hatabiriki, leo atakununia, kesho atakuchekea, leo atakuacha kwa sababu umefulia, kesho atarudi na magoti analia hata mvua kuna wakati mawingu yanaonesha inataka kunyesha, lakini hainyeshi.
Kumpenda mwanamke ni kama kupiga guruneti danadana!Sitaki mwanamke anipende maana ni wanafiki,mi nataka kula papuch nisepe,kupenda akawapende ndugu zake,
kwanza nani alikwambia mwanamke ana upendo? Nehi nehi kabisa.
Halafu kama ataendelea bado kuwa na wewe muombe tunda ndo utajuaUkitaka kujua mtu anakupenda usimpe pesa akikuomba.
Nakubali mkuuDalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Ila nalo neno tena upendo wa mama yako ni mzuri sana na hauna unafiki kama wa hawa wenginekwani lazima upendwe na KE wengine?? mama yako atosha!
Nadhani dalili zote ulizotaja, zinatosha kubebwa na dalili Moja tu namba 2 full stop.Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Uliskia wpiKama haujui ku soundisha utaishia kuwapata wanawake wenye njaa au shida za kifedha mwanamke yeyote ile hua anapenda kupigushwa sound kama ni soundless utaishia kununua wanawake tuu