Recent content by achtung

  1. A

    JamiiForums Tanzania Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

    Tuambie kuhusu Appolo hospital ili nifanye maamuzi haraka, tafadhali
  2. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Guys be like "Nina kazi nzuri, Gari, Nyumba, Pesa lakini sipati Mke"

    Nimeipenda thread yako kifungu kilichoanza Embu Leo hii....., Nami nadhani hayo yanastahili kutendwa na kufanyiwa kazi na yanatokea kwa jinsi zote na Ndio mtizamo wa vijana wengi na tusipokuwa makini tunaweza kuanguka pabaya zaidi.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Vyuo vya afya vinavyokubali Biology-C, Chemistry-D na physics-F

    Pitia website ya nacte majibu yote yako hapo Hizo Ni credit za O Au A level? Masomo mengine je? Je kozi ngapi ipi diploma Au cheti? Maswali Ni mengi kwakua hujaweka Sawa maelezo yako
  4. A

    JamiiForums Tanzania List ya Shule za Secondary zilizopo wiLaya ya MUHEZA (government etc schools)

    Tafuta namba za simu za ofisi ya mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya Muheza na utapata shule zote unazohitaji, waeleze shida yako
  5. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kashidwa kuchagua adhabu baada ya kufumaniwa na mke wa mtu

    Hali ikiwa mbaya bora ubaki na uzima wako.
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimpe adhabu gani mdogo wangu?

    Mtanzamo mzuri sana kwa kipindi huko ukweli na uwazi utasaidia sana kumuepusha na mengi. Mimba na maradhi ya ngono zembe zinaepukika kwa mafunzo. Ikibidi amtambulishe kabisa na awe muaminifu na watumie condom Muda wote Kama washaanza kufanya mapenzi na Kama bado pia akumbuke condom Muda wote
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kumuelewa huyu mke wangu mtarajiwa!

    So interesting!!!
  8. A

    JamiiForums Tanzania Hivi ni haki kuhubiri hovyo hovyo kwenye mabasi ya umma?

    Kumbukeni dini Ni Imani na amini unalolitaka na kila mtu Ana hisia zake Mahali pake kila mtu yuko huru kufanya analotakata angalizo sio kila mahali Ni pa dini Au kuhuburi Au kukashifu dini ya mwenzio. Wengine hawahitaji hata kuamini hizo dini zilizopo duniani. Kila huduma Ina Mahali pake na...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ni wenye akili tu wanaomwelewa Makonda katika hili!!

    Tafadhali fafanua neno popoma uliyetukuka Ni nini?
Back
Top Bottom