Recent content by Achiwen

  1. A

    JamiiForums Tanzania Laana ya udini yaiandama ccm

    Ccm n sawa na yai lililooza kwan hutoa harufu mbaya mda wote. Ukisema kimelaaniwa n sawa kwan wapo kwa masilah yao sio kwa wananchi.
  2. A

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatikisa Mwanza, Furahisha pamekucha

    Amefunika kivp?. Be specific.
  3. A

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Yatikisa Mwananyamala Hospitali

    Hayo ndio mambo ya maana yanayopaswa kufanywa na wapenda maendeleo katka nchi. Big makamanda wa CHADEMA kwan lisemwalo lipo kama halipo bas linakuja.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuamke tushachoka

    Tanzania imeshakua ya watu wachache kwan wanaamua wakitakacho. Wananchi wajue kwamba kama bunge halitaoneshwa live ujue kuna ajenda mbaya za kuwafcha wananchi il waendelee kutunyonya. 2015 ccm tusiwape nafas kwan wametunyonya vyakutosha.
  5. A

    JamiiForums Tanzania vurugu zinazofanywa na wabunge bungeni zinawasaidia wapiga kura wao?

    Kiukweli acheni kuwatupia lawama wabunge wa upinzan kwan wao wanajua wanachokfanya ndo maana hawatak kuburuzwa na kuwa kama upepo. Msema kwel hapendwi ndo kinachotekea katk bunge letu la awamu hi, kwan chama tawala wakiambiwa ukwel wanaona kama wametukanwa. Ubunge wa upnzan kazen buti mpaka...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Vurugu kubwa zazuka, Mahakama, nyumba ya Waziri vimeteketezwa...

    Jengo la Mahama ya mwanzo.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Vurugu kubwa zazuka, Mahakama, nyumba ya Waziri vimeteketezwa...

    Pamoja babu mwaka hu mpaka kielewe. Hapa haktoki kitu. 'Ges kwanza uhai badae'
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Gari la 'Afisa Usalama' lapondwa mawe Msimbati

    Huyo bibi ndo mwnye kijiji kwan anasadikiwa ana umri wa miaka 116, pia haon. Kukumbuka kwamba mwanzo wanagundua ges wazungu waliingia kiholela bla kubsha hod hatmimae machne zao zlishndwa kutoboa hata punje ya mchanga. Ndo wakaambia kla sehemu kuna mira na destur hivyo kuna mwenye kjij ndo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Gesi: Masasi wanaungana kwa pamoja kupinga kusafirishwa kwa gesi

    No research no right to speak. May u gv ua evidence to prove ua statement? For dis issue we must win.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati wa Gesi Mtwara afariki Dunia!

    Dat is ua opinion bt reality it remain as usual. Marcus Garvey in the struggle to liberate black p'ple in america said 'It is better to die free than to live as a slave'. Xo rev never come as a dream must fight perpindicular.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Nyerere na mtizamo hafifu wa kusini

    Kwan unajua sababu ya nyerere kukataa kuvaa nguo za kijan za c c m?
  12. A

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati wa Gesi Mtwara afariki Dunia!

    Mwanaharakati Marcus Garvey ktk harakati za kuikomboa watu weus huko marekani alisema "ni bora kufa ukiwa huru kuliko kuish kama mtumwa". Xo harakat za ukomboz huwez kufanikiwa wakat unakata nyanya.
Back
Top Bottom