Kwa kweli huku wanakotaka kutupeleka hawa viongizi siyo kodi tulipe sisi alafu atokee mtu mmoja anadai eti bunge alitaonyeshwa hewani eti kisa wabunge kukiuka kanuni hivi kama mtu amekiuka kanuni nawakati kuna kamati za bunge inakuwaje taarifa tu inakuja kuwa bunge halita kuwa hewani hakuna kitu kama hicho hawa ccm ndiyo watasababisha vita katika hii nchi makinda kachemka alafu kidogo taarifa kwamba bunge halitakuwa hewani au huko bungeni wanaenda kuongelea mambo ya familia zao nini tu jue moja