Mwanaharakati wa Gesi Mtwara afariki Dunia!

Mwanaharakati wa Gesi Mtwara afariki Dunia!

poleni sana wafiwa...........mie sijaelewa.kuna uhusiano wowote kati ya kifo na harakati za kupinga gesi kwenda dsm?

usipende kutafuniwa kila kitu..

Soma vizuri kila kitu kipo clear hapo.
 
Kina mandela wangeangalia maisha yao wa south wasingekuwa pale, nyerere angeangalia maisha yake usingekuwa hapo. kwa staili hiyo naweza kuja kumchukua mkeo mbele yako na wewe ukachunga maisha yako

Bora ht umemjibu. Kuna majitu mabinafsi sana, na yanatamani kila mtu awe mbinafsi.
Mandela kateswa gerezani, ndoa ikasambaratika, kwa ajili ya haki, na alipewa ofa kibao za kuachiwa, akagoma. Kina Bico, Mahlangu, Chris Hani, walikufa kupigania haki, anadhani hawakuwa na familia, au hawakuzipenda, au hazikuwahitaji?
Martin Luther King Jr je?
Km wengne tumeshindwa kupigania haki, tusiwakatishe tamaa walioamua kujitolea. Km hatuwezi kuwaunga mkono, basi tukae kimya tu.
 
Dat is ua opinion bt reality it remain as usual. Marcus Garvey in the struggle to liberate black p'ple in america said 'It is better to die free than to live as a slave'. Xo rev never come as a dream must fight perpindicular.
 
Uharakati wa kipuuzi umegharimu maisha yake na ndo full stop hatakumbukwa popote.
Utakufa tu na kipindupindu maana hufai kwenda JESHINI mtu kama
wewe na ikiwa hakuna budi basi kazi yako itakuwa ni kufua magwanda
ya wenzako hustahili hata kubeba AK47
 
Hili n swali la msingi la kujiuliza
Poleni sana watu wa Shinyanga na Mara kwani madini yenu yalinufaisha watz wengi bila maandamano. Sasa kazi kwenu nchi inapotaka gesi iwanufaishe watz wote. Nadhani na ugunduzi wa mafuta ndiyo umeifanya Zenji kuwa 'nchi'. Mbele ni kiza kwa tz.
 
Mazingira ya ajali yalikuwaje? Ajali inaweza kutengenezwa


Je inawezekana IGHONDU wa Ulimboka alipelekwa huko? Hii serikali ni ya majasusi haitaki dili zake zipingwe; huoni jamaa yuko Ulaya kutia saini mikataba ya kuuza gesi yetu na ndio maana siku hizi hamuachi waziri wa Nishati anapokwenda kwa wazungu!!
 
Poleni sana watu wa Shinyanga na Mara kwani madini yenu yalinufaisha watz wengi bila maandamano. Sasa kazi kwenu nchi inapotaka gesi iwanufaishe watz wote. Nadhani na ugunduzi wa mafuta ndiyo umeifanya Zenji kuwa 'nchi'. Mbele ni kiza kwa tz.

Ww acha kutudanganya,imemufaisha nan zaidi ya wawekezaji na mafisadi?kila cku wananchi wanapigwa risasi za moto huko migodini wanapotaka kudai haki zao,ndo kunufaika?maeneo yenye migodi,miundo mbinu ni tatizo,vijijini watu mlo mmoja 2 ni tatizo,hayo maendeleo unayosema ni yapi?hapa mmeachiwa mashimo 2,au ndo maendeleo yenyewe?hadi mchanga wa mwisho unaenda ulaya.....hebu niishie hapa,coz haya maumivu 2
 
R.I.P Mwanaharakati!! Hiyo issue ya Mtwara itachukua wengi!!! Na hao wazee walioitwa kuja Dar es Salaam kwa mazungumzo wawe makini sana!!!!
 
kazi kwa familia nilisema haya mambo mtu awe makin na aangalie maisha yake .ges ges

First they came for the Socialists, and I did not speak out--
Because I was not a Socialist.

Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out--
Because I was not a Trade Unionist.
Then they came for the Jews, and I did not speak out--
Because I was not a Jew.
Then they came for me--and there was no one left to speak for me.

Martin Niemöller (1892-1984)
 
MUNGU amrehemu na alale mahala pema peponi... NA HAPA NDIYO MWANZO WA HARAKATI...HATUTARUDI NYUMA KAMWE NA DAIMA TUTASONGA MBELE KWA SABABU MIKOA YA KUSINI TUMECHOSHWA NA MANYANYASO YA CCM NA SERIKALI YAKE TANGU UHURU....That is just a grain of wheat!!
 
Huu sio mwanzo, walishakufa wengi harakatini, Wana Mtwara msiogope, tukamzike mwenzetu na tuendelee na harakati zetu.


Wataonaga tu Aibu
 
Back
Top Bottom