Recent content by ACCOUNTANT1

  1. A

    INAUZWA Sofa used zinauzwa

    Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
  2. A

    Uzi wa bidhaa used tu, kwa bei nafuu

    sofa mbili zinauzwa ni used bei 200,000 kwa zote. Mazungumzo yapo. Sofa zipo mbezi kwa msuguri Dar es salaam. Kama utahitaji tuwasiliane 0762890123
  3. A

    Nani Mjinga hapa!

    4
  4. A

    Nimechoka kusubiri ajira za walimu

    ahaha okay poa utaja nambia
  5. A

    Serikali iwastaafishe watumishi wake wasio productive

    kwani si kuna umri wa kustaafu kulingana na sheria. Au hao wazee wamekwambia wanataka wastaafu mapema
  6. A

    Ni wenye maono ya karibu tu ndio hawajui anapotupeleka Mh. Rais

    Duh mwanauchumi wa wap ww? Naona una aibisha professional za watu.
  7. A

    Washauri wa Uchumi mko wapi, hali ni mbaya sana huku mtaani

    hali ngumu sana ndugu zangu. Hii nchi inabidi kila mmoja afaidi matunda na sio manyanyaso
  8. A

    Ushauri kwa watakaobahatika kupata mikopo chuo kikuu

    mi nilijifanya naanzisha biashara pind niko chuo ila pesa yangu yote iliishia kuliwa na wale niliowaamin na kuwapa mirad yang wasimamie. So kuwa makin pia katika kuwekeza
Back
Top Bottom