Nani Mjinga hapa!

Nani Mjinga hapa!

Jambazi

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
16,654
Reaction score
18,797
15621874_1028359453977369_6751148883726178172_n.jpg
 
Namba 1,2 na 4 ndio wanaoonekana ni thithiem.
 
Kwa Kweli namba 4 ndo zuzu kabisa atakayesema vinginevyo nae mjinga
 
2 ndio mjinga zaidi,uzito wake na moja utamfanya 3 awadondoshe mapema,halafu wako mbal na arthi kwa hiyo wataumia zaidi,pia 2 yuko karibu na mti na matawi makubwa hivo mgongano utakuwa zaidi ya 1 na ataumia zaid ya 1
 
Mjinga ni ww ambaye unaona namba 4 anajimaliza lakn unamwangalia tu ili ajimalize
 
Mjinga namba moja, wenzake wana misumeno yeye anakodoa macho badala ya kuruka au kumzaba vibao no 2
 
Back
Top Bottom